Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu,msemo anaoutumia mara nyingi kwenye hotuba zake Mhe Magufuli. Kimahesabu UKAWA wanawazidi wenzao wa CCM kwa wingi wa Madiwani.Mimi sioni sababu ya CCM kwenda Mahakamani kuzuia uchaguzi wakati wakijua kuwa UKAWA watashinda hata iweje. Mbona Mhe. Magufuli alimshinda Lowassa mbona UKAWA walikubali?. Tufike mahali tusilete fujo kwa mambo yasiyo na tija. Kwa vyovyote kama haki itatendeka UKAWA NDIYO MSHINDI. Sisi wananchi tunataka maendeleo na siyo fujo.