fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Habari wanabodi,
Ifike wakati tusipelekeshwe kama mbweha, wao kila siku Tanzania hivi mara Tanzania vile ilimradi taflani. Mimi nasema uchaguzi wa Marekani sio wa kidemokrasia kabisaaa. Yaani eti kesho 3rd Nov 2020 wanapiga kura wavuja jasho woote na siku nyingine wanapiga mabwanyenye sijui maseneta.
Sasa upuuzi wao upo hapo kwenye hizo kura mbili, yaani unaweza kushinda kwa majority kama Clinton halafu kwa maseneta ukifeli ndo umefeli Urais! Sisi kama Tanzania nchi ya kidemokrasia na nchi kuu katika ukanda huu tupinge dhuruma hii inayofanywa na hawa mabeberu.
Ifike wakati tusipelekeshwe kama mbweha, wao kila siku Tanzania hivi mara Tanzania vile ilimradi taflani. Mimi nasema uchaguzi wa Marekani sio wa kidemokrasia kabisaaa. Yaani eti kesho 3rd Nov 2020 wanapiga kura wavuja jasho woote na siku nyingine wanapiga mabwanyenye sijui maseneta.
Sasa upuuzi wao upo hapo kwenye hizo kura mbili, yaani unaweza kushinda kwa majority kama Clinton halafu kwa maseneta ukifeli ndo umefeli Urais! Sisi kama Tanzania nchi ya kidemokrasia na nchi kuu katika ukanda huu tupinge dhuruma hii inayofanywa na hawa mabeberu.