^^ Kwa taarifa tu, uchaguzi wa leo ni wa Mbunge, na sio wa Mwakilishi.
Wakati wananchi wa Magogoni leo wanachagua mwakilishi wa kuziba pengo lililoachwa kwa kifo cha Mwakilishi wa CCM, Daud Hassan Daud, Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani katika Baraza la Wawakilishi, Mwakilishi wa Wawi, Soud Yussuf Mgeni, 61 (CUF), naye amefariki dunia. Mgeni alifariki dunia jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, wodi ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU).
Magogoni wapo Wachaga wengi tu, hapana shaka Chadema wapo vilevile!, anyway vipi kuhusu Jimbo la Kwahani, 2010 mtaweka mtu pale?Chadema hoi huko Magogoni! Uchaguzi uliofanyika leo tarehe 23 Mei ni kujaza nafasi iliyoachwa wazi kutokana na kifo cha Mwakilishi. Siyo ya Ubunge. Tusichanganye mambo! Hata kama ni ccm damdam, hatuwezi kuwafanya Chadema hoi mahala ambapo hawapo. Kibunango ungesema "ccm hoi huko busanda" ningekupongeza kwa uadilifu for speaking frankly.
Cheki hapa chini kwenye hiyo link, kwenye Herufi B ni Amani mbele yake ndipo Magogoni inapoanzia- Magogoni ndio wapi jamani darasa mkulu Kibunango please!
FMES!