Huo utakuwa uongo dhahiri ulioletwa na mleta uzi,ambaye anaonekana kuwa among kwenye ile timu ya Nape ya propagandists, under Lumumba strategic team,ili kuwafanya wana Arusha,wasijitokeze kwa wingi kuwapigia kura wagombea wao wa CDM.
Hivi Tume ya uchaguzi,JK na CCM,watakuwa hawajitaki kwa kiasi gani,kupanga uchaguzi huo wenye tension kubwa,tarehe 30 mwezi huu,sambamba na ujio wa Obama?!
Wana Arusha puuzeni kwa nguvu zote,uvumi wowote utakaoenezwa kuwa uchsguzi huo umeahirishwa,na badala yske jitokezeni kwa wingi sana vituoni na wapigieni kura kwa wingi sana wagombea wa CDM,ili kuwapa aibu ya mwaka hao waliokuwa wamepanga mpango wao huo nwovu,wa kusababisha umwagikaji damu wa raia wasio na hatia,ili mradi tu watimize ndoto yao ya kulitawala Taifa hili la TZ milele!!