Wana JF
Hatimaye kamati kuu ya CCM imempitisha na kumteua rasmi Sioi Sumary kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Arumeru Mashariki.
Hivi aliyesema kuwa baba akiwa mwanasiasa na basi mtoto afuate nyayo kuziba pengo ni nani??????? tutayaona kwenye uchaguzi ila sio kwa wiziiiiiiiiiiii ccm aaaaah!