Uchaguzi 2020 Uchaguzi wa 2020 Kuna Hatari Wapinzani wasipate hata Jimbo Moja

Nimekutaja hapo km mchumia tumbo na mtaka vyeo ww sio Mtz hujui adha ya watz
Citizen by Birth blaza...Mtz wa leo ana shida gani Elimu bure, mshahara kwa wakati, dawa za kutosha, wazee wamepewa vitambulisho vya matibabu, umeme mpaka vijijini nini wataka zaidi kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.
Kama mtahujumu uchaguzi sawa hata hivyo wewe siyo msemaji wa wapiga kura
 
Upinzani utakuwepo ule wa geresha kama ule wa Rwanda au Zaire ya Mobutu. Wapinzani wa kuchongwa na chama tawala. Mwaka ujao wabunge wa upinzani watatokea NCCR Mageuzi na ACT, na wote watapewa ubunge on a silver platter ili wawe na adabu. Watakuwepo wachache sana kama chachandu kwenye mlo.
 
Kweli, ccm viti vyote, kwa njaa walivyoiongeza TZ kila mtu anahemea cha jio.
Hakuna atakaye kwena kupiga kura ila mwenye kupewa buku 7 . zaidi ya 1/2 ya watanzania hawatopiga kura. Njaa imekuwa kali mno.Watao kwenda kupiga kura hta wakiwapa wapinzani, itashinda ccm.
Vipigo na vikwazo vya polisi vitatawala kwenye kampeni.Kwa hivyo
Lazima ccm itashinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.
Nyuma ya kauli hizi kuna mkakati,inaeleweka kuwa kwa tume huru ccm na chadema watagawana majimbo lkn kwakuwa upo mkakati chadema isipate jimbo hata ili kuifuta chadema basi suala la tume huru ni kitendawili kisichopendwa na ccm. Wapo tayari kuwagawia nccr majimbo ili tu chadema isiwepo ndani ya bunge na kwenye halmashauri. Wito kwa chadema ni kutokubali hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.
Hizi ni porojo tu na kauli za kujifariji lkn wanajua kuwa wamepanga chadema isipate jimbo hata moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom