Uchaguzi 2020 Uchaguzi wa 2020 Kuna Hatari Wapinzani wasipate hata Jimbo Moja

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.
 
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wawakilishi, wabunge na madiwani wote wakiwa wa Ccm ndiyo maendeleo hayo ?!. Mbona Zanzibar walidhulumu na kuwaweka Ccm tupu, kuna paradiso yoyote Zanzibar ?!.

Tume ikiwa huru CCM haiwezi kupata 2/3 . Lakini kwa tume hii ya wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya watapata hata 200%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wawakilishi, wabunge na madiwani wote wakiwa wa Ccm ndiyo maendeleo hayo ?!. Mbona Zanzibar walidhulumu na kuwaweka Ccm tupu, kuna paradiso yoyote Zanzibar ?!.

Tume ikiwa huru CCM haiwezi kupata 2/3 . Lakini kwa tume hii ya wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya watapata hata 200%

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuna Mashiko hapo mbona kina Mbowe wamepitishwa na Tume hizo hizo...shida wapinzani wameshindwa kujua nini wanataka Watanzania wamebaki na Siasa nyepes nyepes tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Free&fair election mbona upo sema wapinzani wamekua watu wa Kuzira na Kususa kwenye Siasa hakuna kukata tamaa you fight untill your last drop...wameishiwa sera kiufupi wamezidiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ana haki ya kuwa mpumbavu.
Ila naona ww umepitiliza matumizi ya haki hii.
Ndondocha na hondohondo kama nyie ambao aidha kwa makusudi au kwa kuwa na upeo mdogo wa kufikiri na kunyumbua mambo mnamtukuza mfalme na kuyafumbia yote mabaya na maovu ambayo yametokea na yanaendelea kutokea katika nchi hii.
Tanzania sio nchi ya ahadi. Na hilo genge lenu mnaliendesha ipo siku nyinyi kwa nyinyi ndio mtakuwa mmeshika upande wa makali na kuelewa machungu ya watanzania wa kawaida.

NB:
Hizo ndege na hiyo treni walioua hayo mashirika ni upinzani !?
Ni mashirika ya serikali hii hii tukufu ambayo imekuwa chini ya genge lenu toka uhuru na bado mkaviua leo mnajitukuza kwa kufufua.

Hilo Stiggle'rs gorge ni muhimu sana kuliko adhari katika mazingira ambazo zinaweza kutokea !?
Hakuna shirika la kipumbavu kama Tanesco, miaka nenda rudi limekuwa sehemu ya kutoroshea hela na bado huduma hazijawahi kuwa bora. Sana sana hali inazidi kuwa mbaya.

Neno la ushauri, kuna mambo hayahitaji mkono wa siasa katika utekelezaji. Maprofesa/wasomi ndio wamegeuka vituko awamu hii, kila anayeteuliwa anajitoa ufahamu na kuwa fala.
Siasa ibaki jukwaani, maendeleo yafanywe kwa misingi ya haki na tafiti pamoja na weledi. Hakuna atakayechukia maendeleo kisa mtukufu amemsikiliza mpinzani au ushauri umetoka upinzani.

Tuijenge Tanzania bora kwa vizazi vijavyo. Epuka mhemko na nguvu ya njaa. Maana kama Chakubanga kawa zombie kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona kijana wa Lumumba umetumwa uje kuangalia upepo ukoje kwa wananchi? Nenda kawaambie mabosi zako wanaokupa buku 7 kwamba wananchi hawazitaki rangi za kijani.
 
Ni Kweli kabisa.... Rais ameamua kwa Maneno na vitendo.... VYOMBO VYA DOLA vimeamua kwa Maneno na matendo
 
Naona kijana wa Lumumba umetumwa uje kuangalia upepo ukoje kwa wananchi? Nenda kawaambie mabosi zako wanaokupa buku 7 kwamba wananchi hawazitaki rangi za kijani.
Sema sitaki usitumie uwingi...Ccm Bado inapendwa na Watanzania walio wengi n wanaojielewa...Upinzani umebaki Jina ila all in all 2020 oct sio mbali tutarudi hapa kupeana mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ana haki ya kuwa mpumbavu.
Ila naona ww umepitiliza matumizi ya haki hii.
Ndondocha na hondohondo kama nyie ambao aidha kwa makusudi au kwa kuwa na upeo mdogo wa kufikiri na kunyumbua mambo mnamtukuza mfalme na kuyafumbia yote mabaya na maovu ambayo yametokea na yanaendelea kutokea katika nchi hii.
Tanzania sio nchi ya ahadi. Na hilo genge lenu mnaliendesha ipo siku nyinyi kwa nyinyi ndio mtakuwa mmeshika upande wa makali na kuelewa machungu ya watanzania wa kawaida.

NB:
Hizo ndege na hiyo treni walioua hayo mashirika ni upinzani !?
Ni mashirika ya serikali hii hii tukufu ambayo imekuwa chini ya genge lenu toka uhuru na bado mkaviua leo mnajitukuza kwa kufufua.

Hilo Stiggle'rs gorge ni muhimu sana kuliko adhari katika mazingira ambazo zinaweza kutokea !?
Hakuna shirika la kipumbavu kama Tanesco, miaka nenda rudi limekuwa sehemu ya kutoroshea hela na bado huduma hazijawahi kuwa bora. Sana sana hali inazidi kuwa mbaya.

Neno la ushauri, kuna mambo hayahitaji mkono wa siasa katika utekelezaji. Maprofesa/wasomi ndio wamegeuka vituko awamu hii, kila anayeteuliwa anajitoa ufahamu na kuwa fala.
Siasa ibaki jukwaani, maendeleo yafanywe kwa misingi ya haki na tafiti pamoja na weledi. Hakuna atakayechukia maendeleo kisa mtukufu amemsikiliza mpinzani au ushauri umetoka upinzani.

Tuijenge Tanzania bora kwa vizazi vijavyo. Epuka mhemko na nguvu ya njaa. Maana kama Chakubanga kawa zombie kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio Shida ya Wapinzani Tanzania ABUSE LANGUAGE uzeni Sera zenu bila matusi mbona mtaeleweka tu..sijawahi Ona mpinzani kasifia chochote Kile Ujenzi wa Bwawa Visibility study imefanyika pros&cons zote ziliainishwa.
Halafu ubaya sasa siku umeme unazinduliwa nanyi mtataka kuwekewa wakati leo mnapinga kila kitu ajabu ndege mnapanda na bado treni yetu mtapanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Kweli kabisa.... Rais ameamua kwa Maneno na vitendo.... VYOMBO VYA DOLA vimeamua kwa Maneno na matendo
Siasa Nyepesi hizi Mbona tumeshuhudia Gambia Kulikua na vyombo vya dola ila bado upinzani Ukashinda same same to Senegal Shida Nyie mnaojiita wapinzani mmekosa sera Manifesto zenu zimekua very very cheap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.

Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.

Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.

Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.

Kwa heri Upinzani Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo. Mbatia atapata na Komu atapata wote kupitia NCCR. Hao watakuwa wabunge wa ccm kupitia NCCR
 
Ngombe wa maziwa au wa Nyama.
Tutumie lugha zenye staha basi ndugu yangu hoja kwa hoja tuache lugha za matusi.
Sera za Ccm
Ajira
Maendeleo
Usawa&haki

Sent using Jamii Forums mobile app
Staha unaijua ww au tukuwekee clip za mwenyekiti wako.....
Hakuna MKULIMA, MFANYAKAZI, MFANYABIASHARA ama MWANAFUNZI anayeweza kupigia kura magaidi na mafisadi ccm walioharibu zaidi nchi ndani ya miaka 5 tu...
 
Staha unaijua ww au tukuwekee clip za mwenyekiti wako.....
Hakuna MKULIMA, MFANYAKAZI, MFANYABIASHARA ama MWANAFUNZI anayeweza kupigia kura magaidi na mafisadi ccm walioharibu zaidi nchi ndani ya miaka 5 tu...
Mbona mimi Nipo kati ya Makundi hayo na asubuhi ntakua na kadi yangu mapema kumpigia Baba Lao Jpm Kura..kwanza Sio haja ya uchaguzi manake wapinzani wataaibika mnoo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom