Uchaguzi UWT now: ni Sophia Simba Vs Anne Kilango

Uchaguzi UWT now: ni Sophia Simba Vs Anne Kilango

Wamehonga sana..mama mkwe wangu mtarajiwa kamwambia wife kuwa ye kura yake amepewa laki5
 
wanawake wanaimba ule wimbo maarufu wa SIMBA WA YUDA ANAUNGURUMA,sijajua wanatuma msg gani hapa
 
Namuombea Dua Sophia Simba ashinde.

The Malecela's time is over.
 
Tupe updates, mbona kimya?Mchuano ni mkali sana, sema rushwa tu ndo isiwepo.
 
wanawake wanaimba ule wimbo maarufu wa SIMBA WA YUDA ANAUNGURUMA,sijajua wanatuma msg gani hapa

Nitashangaa sana kwama Sophia Simba hatoshinda! Having said that both Anne Kilango na Sophia Simba ni janga, kila mmoja anawakilisha mtandao na sio maslahi mapana ya nafasi ya mwanamke katika ustawi wa taifa. Pure tragedy!
 
Nitashangaa sana kwama Sophia Simba hatoshinda! Having said that both Anne Kilango na Sophia Simba ni janga, kila mmoja anawakilisha mtandao na sio maslahi mapana ya nafasi ya mwanamke katika ustawi wa taifa. Pure tragedy!
Kwa nionavyo huyu simba atashinda
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Namuombea Dua Sophia Simba ashinde.

The Malecela's time is over.

Chezeya Aunt Sophie wewe! YAANI 2015 huu ukoo ndo unapotea kabisa kwenye SIASA za bongo wanaompinga Sophy ni wale wabunge waliotaka Kuwa vitu maalum maisha yeye kaweka ukomo, waingie kwenye majimbo
 
Wadau, mkutano wa 8 wa Umoja wa Wanawake Tanzania(CCM) ndo umeanza punde Dodoma. Moja ya vitu vya msingi leo ni uchaguzi wa mwenyekiti wa jumuiya hiyo taifa.

Mchuano mkali ni kati ya Sophia Simba na Anne Kilango. Ikumbukwe hawa walianza vita na vijembe muda mrefu na wamekuwa na tofauti za kisiasa na uhasimu wa wazi kabisa.

Suala la nani ataibuka kidedea leo linasubiriwa kwa hamu sana na wanazi wa pande zote mbili waliojipanga hasa katika kila idara kuanzia majungu,rushwa,fitna na... you know what else..

Wajumbe ndio wameingia ndani. Tusubiri.

wote wanafanana katika kuropoka na kuporomosha majungu na matusi.
 
kwa news za hivi punde ni kwamba nguvu ya sofia simba ni kubwa sana na anakubalika ndani ya uwt kwa jinsi hali inavyoonekana apa dodoma
 
husidhani anaitwa sophia ukazani ni muislam i read your mind huyo mwezenu mtapunguza michango kanisani

ooh,kumbe anamwabudu yesu.ngoja tuone upepo wa comments unabadilika ama vipi.
 
Nasikia Simba kachapwa makofi na Shy Rose ....demu wa William Malecela.
 
Nitashangaa sana kwama Sophia Simba hatoshinda! Having said that both Anne Kilango na Sophia Simba ni janga, kila mmoja anawakilisha mtandao na sio maslahi mapana ya nafasi ya mwanamke katika ustawi wa taifa. Pure tragedy!

Mkuu, huwezi kuishi kwenye jumuia za ccm kama huna mtandao unaousaidia kwa nguvu zote.

Hiyo ndo formula.
 
Back
Top Bottom