frenki katto
Member
- Apr 2, 2012
- 5
- 0
Wana JF napendekeza kama utatokea uchaguzi ndogo ktk nchi yetu ingekuwa vizuri vyama vingine kama kweri vina nia ya dhati ya kuwakomboa watanzania viunganishe nguvu kwa cdm kwani kwa matokeo ya Arumeru kuliko kungangania kuweka mgombea mwisho wa siku chama kinapata kura 18