tzcountry I love
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 729
- 641
Hii ni aibu yetu sote! Mawaziri, ccm kama chama, bunge, viongozi wa dini, wananchi wote, wazee, mahakama, kwamba tumeshindwa kumdhibiti rais wetu na slowslow wafuate katiba na sheria za nchi?
!
Tanzania iliyokuwa mfano katika Africa, tulikuwa tunakaribia Ghana kwa kufuata misingi ya democrasia!
Sasa hivi Ghana imetuacha kwa mbali kwa democrasia na haki za binadamu na pia kwa uchumi kwani wWekezaji wengi wanakimbilia Ghana na Kenya kwa sasa.
Tofauti na zamani taifa letu limesogelea South Sudan na Somalia!
Ninauliza ccm wanapata faida gani kwa hili! Ccm wanadhani anayepata aibu ni upinzani ama wao wenyewe?
Kwa chaguzi hizi hata mtoto wa miaka mitatu anatambua kuwa ni uozo!
Kama watu 500 wamejiandikisha kwenye kituo, wakapiga kura 50 tu wewe hata kama hujasoma au ni mjinga unapata picha gani????????
![Smile :) :)]()
Kweli unaweza kusema kuwa watu wako wanakupenda???
Tujitafakari kama serikali. Soon tutakuwa isolated from the world!
Tutashindwa kuaminika!
Tutadharaulika!
Tutaaibika au tayari tumekwisha kuaibika!
Tutarudi miaka 50 nyuma afadhali ya ukoloni!
SA Malema tu anatosha ; Uganda Bob Wine ameanza kutosha; yote kwa sababu mahakama, speaker na wananchi wakonyuma yao!
Tafakari! Tafakari! Tafakari sana!!
![Smile :) :)]()
Tanzania iliyokuwa mfano katika Africa, tulikuwa tunakaribia Ghana kwa kufuata misingi ya democrasia!
Sasa hivi Ghana imetuacha kwa mbali kwa democrasia na haki za binadamu na pia kwa uchumi kwani wWekezaji wengi wanakimbilia Ghana na Kenya kwa sasa.
Tofauti na zamani taifa letu limesogelea South Sudan na Somalia!
Ninauliza ccm wanapata faida gani kwa hili! Ccm wanadhani anayepata aibu ni upinzani ama wao wenyewe?
Kwa chaguzi hizi hata mtoto wa miaka mitatu anatambua kuwa ni uozo!
Kama watu 500 wamejiandikisha kwenye kituo, wakapiga kura 50 tu wewe hata kama hujasoma au ni mjinga unapata picha gani????????
Kweli unaweza kusema kuwa watu wako wanakupenda???
Tujitafakari kama serikali. Soon tutakuwa isolated from the world!
Tutashindwa kuaminika!
Tutadharaulika!
Tutaaibika au tayari tumekwisha kuaibika!
Tutarudi miaka 50 nyuma afadhali ya ukoloni!
SA Malema tu anatosha ; Uganda Bob Wine ameanza kutosha; yote kwa sababu mahakama, speaker na wananchi wakonyuma yao!
Tafakari! Tafakari! Tafakari sana!!