Uchaguzi tumeuona, CCM tumewasikia, CHADEMA tumewasikia. Watanzania wanasemaje?

Da!, mkuu upo?,okoa jahazi hilo, Mbowe ubunifu umefikia kikomo

Mkuu Mbowe pamoja na utetezi wake wote anaoufanya, sasa ni wakati muafaka kukaa pembeni. Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote au chama cha siasa kukaa madarakani zaidi ya miaka ya kunyooka. Haswa kiongozi huyo au chama hicho kiwe ni cha muafrika. Ukikuta chama au kiongozi wa kuchaguliwa wa kiafrika kakaa madarakani zaidi ya miaka 10 lazima aongoze kwa mizengwe. Hivyo kwa falsafa yangu hii Mbowe na ccm sasa ni muda wa kukubali kukaa pembeni ili kusiwe na mizengwe.
 
Mkuu Mbowe pamoja na utetezi wake wote anaoufanya, sasa ni wakati muafaka kukaa pembeni. Mimi sio muumini wa kiongozi yoyote au chama cha siasa kukaa madarakani zaidi ya miaka ya kunyooka. Haswa kiongozi huyo au chama hicho kiwe ni cha muafrika. Ukikuta chama au kiongozi wa kuchaguliwa wa kiafrika kakaa madarakani zaidi ya miaka 10 lazima aongoze kwa mizengwe. Hivyo kwa falsafa yangu hii Mbowe na ccm sasa ni muda wa kukubali kukaa pembeni ili kusiwe na mizengwe.
Kwahiyo Mbowe akikaa pembeni tume ya uchaguzi itatenda haki,polisi watatenda haki ama?
 
Waendesha vyama vya siasa,Vya upinzani wameishiwa maarifa, ispokua hawataki kuachia wengine gurudumu, kisa urafi Wa ruzuku, acha upinzani upwaye tu
Ukiwa na akili timamu unaelewa kuwa sasa serekali imedhamilia kabisa kupitia chama tawala kuua upinxani hapa sio kwamba wapinzani wamekosa maarifa ila nikwamba aliye juu hataki mtu mwingine asikike zaid yake yeye
Mm nadhani vyama vingi vifutwe halafu tusikie ccm watasema neno gani
 
Kwahiyo Mbowe akikaa pembeni tume ya uchaguzi itatenda haki,polisi watatenda haki ama?

Kukaa pembeni baada ya muda fulani hasa miaka 10 sio kushindwa kuongoza au kutaka tume itende haki, baki ni kuruhusu mawazo mapya kwa afya ya taasisi au nchi. Kwenye hili hatuangalii sura wala chama. Huu wimbo wa kukaa madarakani muda mrefu kwamba una nia njema au ndio mwenye uwezo ndio ulimfanya Nyerere akakaa zaidi ya 20yrs mpaka yale mazuri yakaharibija tukaishia kuvaa viraka. Mbowe ni mzuri sana na tunaheshimu mchango wake, lakini wakati ukuta.
 
Ukiwa na akili timamu unaelewa kuwa sasa serekali imedhamilia kabisa kupitia chama tawala kuua upinxani hapa sio kwamba wapinzani wamekosa maarifa ila nikwamba aliye juu hataki mtu mwingine asikike zaid yake yeye
Mm nadhani vyama vingi vifutwe halafu tusikie ccm watasema neno gani

Kibaya zaidi Magufuli anataka kuua upinzani wakati yeye mwenyewe sio muadilifu. Udhaifu wake wa kutokuweza siasa za ushindani ndio anadhani wananchi wote watakubaliana na nia yake ovu ya kutaka kufuta vyama vya kumkosoa.
 
Ukiwa na akili timamu unaelewa kuwa sasa serekali imedhamilia kabisa kupitia chama tawala kuua upinxani hapa sio kwamba wapinzani wamekosa maarifa ila nikwamba aliye juu hataki mtu mwingine asikike zaid yake yeye
Mm nadhani vyama vingi vifutwe halafu tusikie ccm watasema neno gani
Naheshimu maoni yako, ila fahamu uhuru una mipaka, kutimiza wajibu ni kitu muhimu Sana kwa mwanadamu yoyote ,umagharibi una pros na cons zake pia kwa muktadha Wa kiafrika
 
Kukaa pembeni baada ya muda fulani hasa miaka 10 sio kushindwa kuongoza au kutaka tume itende haki, baki ni kuruhusu mawazo mapya kwa afya ya taasisi au nchi. Kwenye hili hatuangalii sura wala chama. Huu wimbo wa kukaa madarakani muda mrefu kwamba una nia njema au ndio mwenye uwezo ndio ulimfanya Nyerere akakaa zaidi ya 20yrs mpaka yale mazuri yakaharibija tukaishia kuvaa viraka. Mbowe ni mzuri sana na tunaheshimu mchango wake, lakini wakati ukuta.
Atoe kijiti sasa
 
Upinzani hauwezi kupwaya upinzani upo mioyoni mwetu.
Sisi wote ni wapinzani.Ccm inamarifagani zaidi ya kupiga Risasi Wapinzani wa kweli kama Akina Lisu?
Ccm ina maarifa gani zaidi ya Polepole na Mwenyekiti wake kutumia Kodi zetu kununua wapinzani na Kurudia uchaguzi?
Ccm inafanya maarifa ya kishamba Alafu Bashite anajipongeza na Polisi wanao kula mshahara wa kodi zetu watanzania.

Ona unavyotia huruma. Debe tupu. Chama na Maendeleo wapi na wapi. Utashi ndugu. Acha utoto Utoto ndo ujitamkia na kujisifia. Hapa ni Kazi tu. Mbwembwe pelekeni chooni.
 
Atoe kijiti sasa

Hatima ya Mbowe iko mikononi mwa wanachama halali wa cdm, wao ndio wana uwezo na haki ya kumtoa iwapo wataona inafaa na sio kwa shinikizo la wanaccm. Hiyo cdm ni chama cha hiari, mtu akiona hakubaliani na yanayoendelea atumie taratibu zao za chama kumtoa. Ikishindika anayoena haiwezekani ahamie chama kingine au aanzishe chama chake kama Zitto. Kwetu rais akiongeza muda wa kukaa madarakani ndio patachimbika kwani hatuwezi kuhama nchi na nchi ni yetu wote, lakini vyama ni vya wanachama.
 
Tatizo liko kwetu sisi Watanzania ambao tunataka Mbowe atufanyie kila kitu, Mbowe apambane na Tume ya Uchaguzi, Mbowe "alone" apambane na Polisi wanaoshangalia ushindi wa CCM, Mbowe apambane na wakuu wa Mikoa, Mbowe apambane na wakuu wa Wilaya, Mbowe apambane wakurugenzi wa Wilaya na Mikoa, Mbowe apambane na UVCCM waliovalishwa fulana za wafanyakazi wa Tume ya Uchaguzi!

Kila kitu Mbowe, Mbowe, Mbowe wakati sisi midume mizima mchango wetu kwa kwa maslahi ya Taifa hili na vizazi vyetu ni kunywa mchuzi wa pweza ili tukojoe mara kwa mara!
 
Ona unavyotia huruma. Debe tupu. Chama na Maendeleo wapi na wapi. Utashi ndugu. Acha utoto Utoto ndo ujitamkia na kujisifia. Hapa ni Kazi tu. Mbwembwe pelekeni chooni.
Kazi kitu gani?Maneno ya kichaa wenu jukuani?eti hapa ni kazi tu,wewe ndio unatia huruma.
Upinzani hautakufa ndio maana nakupinga mzee.
 
Hatima ya Mbowe iko mikononi mwa wanachama halali wa cdm, wao ndio wana uwezo na haki ya kumtoa iwapo wataona inafaa na sio kwa shinikizo la wanaccm. Hiyo cdm ni chama cha hiari, mtu akiona hakubaliani na yanayoendelea atumie taratibu zao za chama kumtoa. Ikishindika anayoena haiwezekani ahamie chama kingine au aanzishe chama chake kama Zitto. Kwetu rais akiongeza muda wa kukaa madarakani ndio patachimbika kwani hatuwezi kuhama nchi na nchi ni yetu wote, lakini vyama ni vya wanachama.
Kaka wanachama ubavu hatuna , huyo aibu ndo zitamtoa, au mumhakikishie ruzuku hata kama yuko nje atailaje, kwa maana mkwe alimkabizi,sisi tutamtoaje kwenye saccos ya ukoo?
 
Upinzani hauwezi kupwaya upinzani upo mioyoni mwetu.
Sisi wote ni wapinzani.Ccm inamarifagani zaidi ya kupiga Risasi Wapinzani wa kweli kama Akina Lisu?
Ccm ina maarifa gani zaidi ya Polepole na Mwenyekiti wake kutumia Kodi zetu kununua wapinzani na Kurudia uchaguzi?
Ccm inafanya maarifa ya kishamba Alafu Bashite anajipongeza na Polisi wanao kula mshahara wa kodi zetu watanzania.
Unapojibu hivyo unaonekana una upande flani
 
Kaka wanachama ubavu hatuna , huyo aibu ndo zitamtoa, au mumhakikishie ruzuku hata kama yuko nje atailaje, kwa maana mkwe alimkabizi,sisi tutamtoaje kwenye saccos ya ukoo?

Mkuu hilo la wanachama kuweza kumtoa au la sina uhakika nalo na wala haliniumizi maana mimi sio mwanachama zaidi ya shabiki wa kutupwa wa cdm. Kama analazimisha kupewa ruzuku hilo sina hakika maana mimi sio mwanachama hivyo sijui mambo ya ndani ya chama hicho.

Kama wanaccm mna pata hasira na Mbowe ni rahisi sana, ongeeni na mapandikizi yenu ya ccm Lowasa na Sumaye ndani ya cdm mjiunge kwa wingi, kisha siku ya kura mpige mumtoe. Hapo mtakuwa mmetimiza lengo lenu. Lakini mimi kama mimi msimamo wangu, kiongozi wa kuchaguliwa mwisho ni miaka 10, hata anunue ndege 200, ajenge SGR kila kijiji hapa Tz. Hivyo huyo Mbowe kwangu ni mmoja wa viongozi walio overstay.
 
Back
Top Bottom