Uchaguzi TUCTA: Vigogo waangushwa

Uchaguzi TUCTA: Vigogo waangushwa

spencer

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
3,599
Reaction score
3,226
Wana jamvi amani kwenu.

Ninayofuraha kuwataarifu safu mpya ya shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania kama ifuatavyo.
Rais: Tumain Nyamhoka~TAGWU
Makamu: Qambos M Sule~CWT
K/Mkuu😀r Yahya Kitambazi~TUGHE
Makamu Katibu: Jones Kyaruzi ~TUICO
Mweka Hazina: James C Kalanje~RAAWU

Hongereni sana wawakilishi wetu kwa kukataa kuwa Daraja.

To do list:
Kwa kuwa wenzenu walichemka mswaada wa habari, naombeni FAO la kujitoa lirudi.
1.Jiulize utasomeshaje wanao kazi ikikoma
2.Utatibiwaje kazi ikikoma
3.Utakula nini kazi ikikoma
4.Huku ukitambua kila mwaka vijana laki nane wanamwagwa mtaani utapata wap kazi haraka haraka.
5.mtambue kuna vijana wengi wanapenda kujiendeleza baada muda flani, sekta binafsi inataka uache kazi ndio ukasome atafanyaje kijana aliyemaliza veta anataka kwenda DIT kusoma FTC na sasa yuko kigoma au karagwe.

Kila la kheri sana, fanyeni kazi
 
Wana jamvi amani kwenu.

Ninayofuraha kuwataarifu safu mpya ya shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania kama ifuatavyo.
Rais: Tumain Nyamhoka~TAGWU
Makamu: Qambos M Sule~CWT
K/Mkuu😀r Yahya Kitambazi~TUGHE
Makamu Katibu: Jones Kyaruzi ~TUICO
Mweka Hazina: James C Kalanje~RAAWU

Hongereni sana wawakilishi wetu kwa kukataa kuwa Daraja.

To do list:
Kwa kuwa wenzenu walichemka mswaada wa habari, naombeni FAO la kujitoa lirudi.
1.Jiulize utasomeshaje wanao kazi ikikoma
2.Utatibiwaje kazi ikikoma
3.Utakula nini kazi ikikoma
4.Huku ukitambua kila mwaka vijana laki nane wanamwagwa mtaani utapata wap kazi haraka haraka.
5.mtambue kuna vijana wengi wanapenda kujiendeleza baada muda flani, sekta binafsi inataka uache kazi ndio ukasome atafanyaje kijana aliyemaliza veta anataka kwenda DIT kusoma FTC na sasa yuko kigoma au karagwe.

Kila la kheri sana, fanyeni kazi
CV zao please.
 
Hawa japo siwafahamu lakini wale mamluki waliopita walikuwa wasaliti wakubwa wa wafanyakazi .
 
Safi sana. Wale jamaa walijisahau kama vile hawaoni wafanyakazi wanavyonyanyaswa na waajiri. Hebu mliochaguliwa rudisheni heshima na hadhi ya mfanyakazi.
 
Nilimsikia waziri akiwaambia walishindwa kulipatia ufumbuzi swala la FAO la kujitoa kutokana na uongozi ila sasa watafikia muhafaka ni jambo zuri ,na ongereni kwa kuchaguliwa kukiwa hakuna FAO la kujitoa Mimi nitajitoa kwenye chamaa mkose kapesa kangu ka mchango.
 
Back
Top Bottom