Uchaguzi TUCTA: Vigogo waangushwa

Uchaguzi TUCTA: Vigogo waangushwa

Wana jamvi amani kwenu.

Ninayofuraha kuwataarifu safu mpya ya shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania kama ifuatavyo.
Rais: Tumain Nyamhoka~TAGWU
Makamu: Qambos M Sule~CWT
K/Mkuu😀r Yahya Kitambazi~TUGHE
Makamu Katibu: Jones Kyaruzi ~TUICO
Mweka Hazina: James C Kalanje~RAAWU

Hongereni sana wawakilishi wetu kwa kukataa kuwa Daraja.

To do list:
Kwa kuwa wenzenu walichemka mswaada wa habari, naombeni FAO la kujitoa lirudi.
1.Jiulize utasomeshaje wanao kazi ikikoma
2.Utatibiwaje kazi ikikoma
3.Utakula nini kazi ikikoma
4.Huku ukitambua kila mwaka vijana laki nane wanamwagwa mtaani utapata wap kazi haraka haraka.
5.mtambue kuna vijana wengi wanapenda kujiendeleza baada muda flani, sekta binafsi inataka uache kazi ndio ukasome atafanyaje kijana aliyemaliza veta anataka kwenda DIT kusoma FTC na sasa yuko kigoma au karagwe.

Kila la kheri sana, fanyeni kazi
Afadhali na Mungu awalaani huko waendako
 
mkoba ....you are next... utoke tu Mzee huna faida yoyote zaidi ya kuwa sehem ya serikali...
 
We unayehoji mbona ni wa dini moja tukuite mchochezi au?? Huu si uchaguzi na waliogombea ndio wanapigiwa kura? Ungegombea ili kuikomboa dini yako!!!
 
mkoba ....you are next... utoke tu Mzee huna faida yoyote zaidi ya kuwa sehem ya serikali...
 
Bora Mgaya katolewa maana alikuwa msaliti ndani ya chama kama zzk
 
Nafikiri Jana TUCTA walifanya uchaguzi Mkuu naomba aliyefuatilia kwa karibu atupatie matokeo na safu ya viongozi wapya
Nawasilisha
 
Wana jamvi amani kwenu.

Ninayofuraha kuwataarifu safu mpya ya shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania kama ifuatavyo.
Rais: Tumain Nyamhoka~TAGWU
Makamu: Qambos M Sule~CWT
K/Mkuu😀r Yahya Kitambazi~TUGHE
Makamu Katibu: Jones Kyaruzi ~TUICO
Mweka Hazina: James C Kalanje~RAAWU

Hongereni sana wawakilishi wetu kwa kukataa kuwa Daraja.

To do list:
Kwa kuwa wenzenu walichemka mswaada wa habari, naombeni FAO la kujitoa lirudi.
1.Jiulize utasomeshaje wanao kazi ikikoma
2.Utatibiwaje kazi ikikoma
3.Utakula nini kazi ikikoma
4.Huku ukitambua kila mwaka vijana laki nane wanamwagwa mtaani utapata wap kazi haraka haraka.
5.mtambue kuna vijana wengi wanapenda kujiendeleza baada muda flani, sekta binafsi inataka uache kazi ndio ukasome atafanyaje kijana aliyemaliza veta anataka kwenda DIT kusoma FTC na sasa yuko kigoma au karagwe.

Kila la kheri sana, fanyeni kazi


Naona washa Fail kabla hata hawajaanza au ?
 
Back
Top Bottom