Uchaguzi TUCTA: Vigogo waangushwa

Uchaguzi TUCTA: Vigogo waangushwa

Nilimsikia waziri akiwaambia walishindwa kulipatia ufumbuzi swala la FAO la kujitoa kutokana na uongozi ila sasa watafikia muhafaka ni jambo zuri ,na ongereni kwa kuchaguliwa kukiwa hakuna FAO la kujitoa Mimi nitajitoa kwenye chamaa mkose kapesa kangu ka mchango.

Mkuu na wewe ulimuamini huyo waziri ?
 
Utashanga hao waliyopigwa chini wanakwenda kukata rufaa

Ova
 
Kama yale manyang'au yameondoka safi sana! yalikuwa yanatafuna tu fedha zetu bila aibu! laana khum! viongozi wapya pambaneni na fao la kujitoa pamoja na mafao ya wastaafu kwani sheria imekaa kimanyanyaso sana.
 
Back
Top Bottom