Jana Jumapili Jijini Dar es Salaam kulikuwa na uchaguzi wa wenyeviti wa mitaa katika mitaa mipya na ile ya zamani iliyotakiwa kujazwa nafasi, Kampeni zilikuwa kali zikijumuisha viongozi wa vyama vyote, hasa Chadema waliowatuma wabunge wao wote kugawana mitaa ili kuhakikisha ushindi mnono wa chama chao.
Taarifa kamili za matokeo zinaonyesha Chadema pamoja na nguvu kubwa waliotumia jijini Dar es Salaam, wameambulia mtaa mmoja wa Jogoo -Mbezi na mitaa mingine yote zaidi ya 9 ikiwa imechukuliwa na CCM.
Hii ni ishara ya nini kwa Matokeo haya hapo mwaka 2014?
Taarifa kamili za matokeo zinaonyesha Chadema pamoja na nguvu kubwa waliotumia jijini Dar es Salaam, wameambulia mtaa mmoja wa Jogoo -Mbezi na mitaa mingine yote zaidi ya 9 ikiwa imechukuliwa na CCM.
Hii ni ishara ya nini kwa Matokeo haya hapo mwaka 2014?