Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
UCHAGUZI WA WIZI NA WAGOMBEA WAO NI MAJAMBAZI.
Ndugu Bushiri Ally Nassoro (Pichani) leo hii hii, tarehe 18 November 2019 Amekamatwa na Maafisa wa Uhamiaji kwa tuhuma za kuwatapeli na kuwalaghai wateja wanaokuja kupata huduma za kiuhamiaji katika ofisi ya Uhamiaji Makao Makuu Kurasini, Dar es slaam.
Ndugu Bushiri pia ndio mgombea kwa nafasi ya Uenyekiti kupitia tiketi ya ccm kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa na ambae tayari amepita bila kupigwa kutokana na kadhia ya hujuma zilizofanywa na TAMISEMI na kupelekea vyama makini vya upinzani kujiondoa kwenye uchaguzi huu haramu.
Ndugu Bushiri Ally ni mgombea kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa na ambae amepita bila kupingwa kama nilivyotangulia kusema kupitia tiketi ya ccm kwenye Mtaa wa Nyambwera, kata ya Tandika ndani ya jimbo la Temeke.
Nini maoni yako.
A. Ndambo
Ndugu Bushiri Ally Nassoro (Pichani) leo hii hii, tarehe 18 November 2019 Amekamatwa na Maafisa wa Uhamiaji kwa tuhuma za kuwatapeli na kuwalaghai wateja wanaokuja kupata huduma za kiuhamiaji katika ofisi ya Uhamiaji Makao Makuu Kurasini, Dar es slaam.
Ndugu Bushiri pia ndio mgombea kwa nafasi ya Uenyekiti kupitia tiketi ya ccm kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa na ambae tayari amepita bila kupigwa kutokana na kadhia ya hujuma zilizofanywa na TAMISEMI na kupelekea vyama makini vya upinzani kujiondoa kwenye uchaguzi huu haramu.
Ndugu Bushiri Ally ni mgombea kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa na ambae amepita bila kupingwa kama nilivyotangulia kusema kupitia tiketi ya ccm kwenye Mtaa wa Nyambwera, kata ya Tandika ndani ya jimbo la Temeke.
Nini maoni yako.
A. Ndambo