Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,418
- 18,044
Angekuwa anajitambua asingekuwa analazimisha kwenda kufuata nyampala jela ampumulie kisogoniMdude anakuzidi ana akili kichwani. He can fight for his right, He can resist uonevu and the like!!
Angekuwa anajitambua asingekuwa analazimisha kwenda kufuata nyampala jela ampumulie kisogoniMdude anakuzidi ana akili kichwani. He can fight for his right, He can resist uonevu and the like!!
kwamba ndio huyo ni miongoni mwa first class brain chedema dah 🤣Halafu imagine mvuta bangi, mtu wa mitusi kama huyu Mdude_Nyagali yuko kwenye cream ya vijana wenye akili (thinktank) ya CHADEMA!!
Hawa eti ndiyo wanahubiri "nguvu ya umma"
kwamba hapo ndio umetoa hoja nzito sana kwa hekima na busara ya kiwango cha juu sana na kwahivyo uungwe mkono 🐒Mwambie kabisa kuwa Mdude ni kijana anayejitambua na hawezi kulamba makalio ya wakubwa.
Wengi wanaobeza hapa ni watu wakujipendekeza kama ilivyo kanuni ya CCM kuwa kujipendekeza na kuabudu kwa viongozi ni wajibu.
Hawa wako radhi kuwatoa hata wake zao ili kiongozi wa ccm aburudike na wakajisikia fahari
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app