Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Na huo ndio ukweli,Wasipoiba kura ccm, hamna mshindi kuanzia Urais hadi Ubunge!
Na huo ndio ukweli,Wasipoiba kura ccm, hamna mshindi kuanzia Urais hadi Ubunge!
Andika tu kwa kujifurahisha ila CCM itatawala milele na Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa wepesi zaidi kuliko uchaguzi uliopita.Udiwani kata gani anagombea.
Anapo simama lisu jiwe hawezi sogea.
Hahahaha😂😂😂😂😂😂 jipe moyo ila mjue msimu huu mnakula ugali na mboga ni pilipili mtatoka kamasi.Andika tu kwa kujifurahisha ila CCM itatawala milele na Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa wepesi zaidi kuliko uchaguzi uliopita.
Hahaha sjui unafikili hizokura wanapiga upande mumoja.Sisi hapa tunaongelea magwiji wawili Lisu na membe.huyo jiwe akagombee udiwani huko.
Kama tume ni ya wakwe zake na Lissu mtashinda.Hahahaha jipe moyo ila mjue msimu huu mnakula ugali na mboga ni pilipili mtatoka kamasi.
Yaani kuna watu njaa zimesababisha akili ziwaruke. Huwezi fananisha takataka tundu na H.E MagufuliUdiwani kata gani anagombea.
Anapo simama lisu jiwe hawezi sogea.
mkuu endapo ACT ikajidanganya simama peke yake ndo utakua mwisho wake watapigwa propagana moja chali , ngoja wajidanganye MEMBE anafaa but upepo wake nje ni mdogo sidhani kwa mwaka huu hata akipewa kugombea kwa muunganiko wa vyama kama atamtikisa mgombea wa ccm kwa sasa ajipange siku za uson bado ana nguvu tuACT Wazalendo imedhamiria kuona Membe anagombea upinzani iwe kwa tiketi ya umoja wa upinzani (ACT+CHADEMA) au ACT peke yake.
CHADEMA haina mpango na mgombea kutoka nje ina wagombea wa kutosha mpaka sasa 6 washachukua fomu na matarajio ni wagombea zaidi ya 10 kuchukua fomu.
Katika namna hiyohiyo CHADEMA imeonesha kutokutilia manani sana muungano wa vyama. Hivyo uwezekano wa vyama kuungana ni mdogo mno.
Kwakuwa Membe anapenda kugombea Urais na kwa ushawishi wa Zitto na ACT atajikuta anagombea kupitia ACT Wazalendo na CHADEMA ikamteua Lissu basi uchaguzi utakuwa ni ACT vs CHADEMA
Hata mimi nakubali huwezi mfananisha takataka jiwe na tundu lissu...😂😂😂😂😂😂Yaani kuna watu njaa zimesababisha akili ziwaruke. Huwezi fananisha takataka tundu na H.E Magufuli
God save us
Tume ni ya wakwe zake jiwe na lissu anashinda...😁😁😁😁😂😂Kama tume ni ya wakwe zake na Lissu mtashinda.
Lissu atashinda njaa ila sio urais.Tume ni ya wakwe zake jiwe na lissu anashinda...
Hii chaguzi ni ya lissu na membe.jiwe akashindane na bashiru..😂😂😂Lissu atashinda njaa ila sio urais.
Nyinyi mtapigana kwenye majukwaa kuzigawa kura zenu wakati CCM kura zake hazigawanyiki zipo palepale.Hii chaguzi ni ya lissu na membe.jiwe akashindane na bashiru..
Kwa tume ipi bwashee, hii hii inayoteuliwa na ngosha? Kamwe hakutakaa kuwe na kitu kama hicho.
Amini nakwambia siasa za ulaghai mwisho wake ni mwaka huu. Watanzania wamechoka kweli, kilichokuwa kinakosekana ni uwepo wa mtu wa kuwahamasisha wafanye wanalotakiwa kulifanya.Bwashee inamaana kule kinondon, ukonga, etc hyo nguvu ya uma ilikuwa bado haijazaliwa!? Kiufupi tu wapinzn watakaurudi safari hii ni wale vivuli tu kina mbatia
Vyombo vya dola vipo imara kuliko wakt mwingine wowote, kwa nchi yetu hii ambayo mbongo akiona gwanda tu anaanza kutetemeka usitegemee hicho kitu kamwe.Amini nakwambia siasa za ulaghai mwisho wake ni mwaka huu. Watanzania wamechoka kweli, kilichokuwa kinakosekana ni uwepo wa mtu wa kuwahamasisha wafanye wanalotakiwa kulifanya.
Mwaka huu upinzani wanahitaji huyo mtu tu. Wa kuhamasisha nguvu ya umma katika kupiga kura, kulinda kura, kusimamia kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni hayo tu
Hapana. Ilo sidhaniVyombo vya dola vipo imara kuliko wakt mwingine wowote, kwa nchi yetu hii ambayo mbongo akiona gwanda tu anaanza kutetemeka usitegemee hicho kitu kamwe.
Upinzani wakishindwa kuchukua nchi ntajuwa kuwa wanatumika na ccm na hapo ndo utakuwa mwanzo na mwisho wangu wakuipigia kura chadema achilia mbali ccm.