Uchaguzi 2020 Uchaguzi mwaka huu 2020 waweza kuwa ACT Wazalendo vs CHADEMA

ACT Wazalendo imedhamiria kuona Membe anagombea upinzani iwe kwa tiketi ya umoja wa upinzani (ACT+CHADEMA) au ACT peke yake.

CHADEMA haina mpango na mgombea kutoka nje ina wagombea wa kutosha mpaka sasa 6 washachukua fomu na matarajio ni wagombea zaidi ya 10 kuchukua fomu.

Katika namna hiyohiyo CHADEMA imeonesha kutokutilia manani sana muungano wa vyama. Hivyo uwezekano wa vyama kuungana ni mdogo mno.

Kwakuwa Membe anapenda kugombea Urais na kwa ushawishi wa Zitto na ACT atajikuta anagombea kupitia ACT Wazalendo na CHADEMA ikamteua Lissu basi uchaguzi utakuwa ni ACT vs CHADEMA
mkuu endapo ACT ikajidanganya simama peke yake ndo utakua mwisho wake watapigwa propagana moja chali , ngoja wajidanganye MEMBE anafaa but upepo wake nje ni mdogo sidhani kwa mwaka huu hata akipewa kugombea kwa muunganiko wa vyama kama atamtikisa mgombea wa ccm kwa sasa ajipange siku za uson bado ana nguvu tu
 
Bwashee inamaana kule kinondon, ukonga, etc hyo nguvu ya uma ilikuwa bado haijazaliwa!? Kiufupi tu wapinzn watakaurudi safari hii ni wale vivuli tu kina mbatia
Amini nakwambia siasa za ulaghai mwisho wake ni mwaka huu. Watanzania wamechoka kweli, kilichokuwa kinakosekana ni uwepo wa mtu wa kuwahamasisha wafanye wanalotakiwa kulifanya.

Mwaka huu upinzani wanahitaji huyo mtu tu. Wa kuhamasisha nguvu ya umma katika kupiga kura, kulinda kura, kusimamia kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni hayo tu
 
Amini nakwambia siasa za ulaghai mwisho wake ni mwaka huu. Watanzania wamechoka kweli, kilichokuwa kinakosekana ni uwepo wa mtu wa kuwahamasisha wafanye wanalotakiwa kulifanya.

Mwaka huu upinzani wanahitaji huyo mtu tu. Wa kuhamasisha nguvu ya umma katika kupiga kura, kulinda kura, kusimamia kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni hayo tu
Vyombo vya dola vipo imara kuliko wakt mwingine wowote, kwa nchi yetu hii ambayo mbongo akiona gwanda tu anaanza kutetemeka usitegemee hicho kitu kamwe.
 
Chadema huwa inachukua nchi kila mwaka sema sisi wananchi ni waoga sana, hatuipi suport ya kutosha chadema, lets say wapiga kura wote wa chadema tungekua na msimamo mmoja wa kusimamia kura bila kuogopa policcm unadhani hivyo vyombo vya dola vingeweza kushindana na nguvu ya umma?
Upinzani wakishindwa kuchukua nchi ntajuwa kuwa wanatumika na ccm na hapo ndo utakuwa mwanzo na mwisho wangu wakuipigia kura chadema achilia mbali ccm.
 
Back
Top Bottom