Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
ACT Wazalendo imedhamiria kuona Membe anagombea upinzani iwe kwa tiketi ya umoja wa upinzani (ACT+CHADEMA) au ACT peke yake.
CHADEMA haina mpango na mgombea kutoka nje ina wagombea wa kutosha mpaka sasa 6 washachukua fomu na matarajio ni wagombea zaidi ya 10 kuchukua fomu.
Katika namna hiyohiyo CHADEMA imeonesha kutokutilia manani sana muungano wa vyama. Hivyo uwezekano wa vyama kuungana ni mdogo mno.
Kwakuwa Membe anapenda kugombea Urais na kwa ushawishi wa Zitto na ACT atajikuta anagombea kupitia ACT Wazalendo na CHADEMA ikamteua Lissu basi uchaguzi utakuwa ni ACT vs CHADEMA
CHADEMA haina mpango na mgombea kutoka nje ina wagombea wa kutosha mpaka sasa 6 washachukua fomu na matarajio ni wagombea zaidi ya 10 kuchukua fomu.
Katika namna hiyohiyo CHADEMA imeonesha kutokutilia manani sana muungano wa vyama. Hivyo uwezekano wa vyama kuungana ni mdogo mno.
Kwakuwa Membe anapenda kugombea Urais na kwa ushawishi wa Zitto na ACT atajikuta anagombea kupitia ACT Wazalendo na CHADEMA ikamteua Lissu basi uchaguzi utakuwa ni ACT vs CHADEMA