Uchaguzi 2020 Uchaguzi mwaka huu 2020 waweza kuwa ACT Wazalendo vs CHADEMA

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
ACT Wazalendo imedhamiria kuona Membe anagombea upinzani iwe kwa tiketi ya umoja wa upinzani (ACT+CHADEMA) au ACT peke yake.

CHADEMA haina mpango na mgombea kutoka nje ina wagombea wa kutosha mpaka sasa 6 washachukua fomu na matarajio ni wagombea zaidi ya 10 kuchukua fomu.

Katika namna hiyohiyo CHADEMA imeonesha kutokutilia manani sana muungano wa vyama. Hivyo uwezekano wa vyama kuungana ni mdogo mno.

Kwakuwa Membe anapenda kugombea Urais na kwa ushawishi wa Zitto na ACT atajikuta anagombea kupitia ACT Wazalendo na CHADEMA ikamteua Lissu basi uchaguzi utakuwa ni ACT vs CHADEMA
 
Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.

CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
 
Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.

CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
Kwa tume ipi bwashee, hii hii inayoteuliwa na ngosha? Kamwe hakutakaa kuwe na kitu kama hicho.
 
Hii ndy picha halisi wengi wanataka,moja ya siasa inachotaka ni Chama chochote kulea viongozi wake kwa muda mrefu na sio kuazima kutoka upande mwingne..CDM ijue hili kuwa kutengeneza royalty ya wanachama wake ni pamoja na consistent na wafia Chama sio wakuja. Tunataka viongoz wale waliolelewa na Chama ndy wagombee uongozi mana hawa kule chini kuna watu wamewatengeneza kwa mda mrefu sana!!

Vyama vingi vya upinzani vimepata nguvu baada ya kugombea Mara nyingi na kushindwa hatimae vimetwaa madaraka badae.Tusiwe na haraka twende hatua kw hatua na consistent tusirukie rukie wakuja ,hawa wengi wanatumwa kufitini mipango ya ndani.
Mungu bariki siasa Safi,Mungu bariki Tanzania mpya yenye umoja na mshikamano!!
 
Ukweli ni kuwa iwapo Membe akijiunga ACT_Wazalendo uwepo wa muungano na Chadema utakuwa umekufa.

Lakini pia Chadema walio wengi hawapendi mgombea wao mwaka huu atoke nje ya chama Chao...japo wapo chedema maslahi lolote kwao ni sawa ilimradi kula yao haiko mashakani.
 
Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani bila Membe vitaaminika zaidi kuliko kuleta virusi vya CCM ,Membe akigombea ACT baada ya uchaguzi ACT itadorora kama Chadema baada ya uchaguzi wa 2015,na vyama vyote vya upinzani vikiungana na kumsimamisha Membe ndo vitapoteana kabisa.

Ifike mahala vyama vya upinzani vijiamini na kujielewa,wapo watu wamejenga vyama hawajasuasua leo mnaleta tu mabaki ya CCM ni aibu na hamna haja ya kuchagua upinzani kama ndo wanafanya kazi hivo maana ni uwendawazimu.

Chadema ina Lissu, na watia nia wengine ,ACT ina Zito ,hebu wajiamini wasimame wao kama wao au waungane bila mgombea kutoka CCM,ina make sense kuliko kupiga kelele kila baada ya miaka 5 uchaguzi ukija mnafanya upunguani
 
Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.

CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
Safi
 
Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.

CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake
Hii dunia kweli ina maajabu yake.
Mwisho Wa siku atakuwa rais Wa mioyo badala ya Tanzania.

Mi Tomaso bana, nasubiri kuona hiyo njia atakayopitia kufika ikulu.
 
Kwa tume ipi bwashee, hii hii inayoteuliwa na ngosha? Kamwe hakutakaa kuwe na kitu kama hicho.

CCM kama walikosea au plan wamfukuze Membe ili wapinzani wamdake kama Lowasa hiyo imekula kwao.
Disadvantegies ni nyingi na iwe iwavyo, kama Membe akigombea kwa ticket ya ACT , thats ablessing in a disguise.
Thanks Lord!!
 
Hakuna mwaka ambao upinzani ni rahisi kuchukua serikali kama mwaka huu. Ni wao kuchanga karata vizuri. Na wakitaka kufanikiwa wote wakubali na kumpitisha Lissu kuwa mgombea wao mwaka huu.

CCM wanajua fika bora wakutane na Kifo ila sio Lissu. Membe ahadi ya kupewa uwaziri mkuu inamtosha, kikubwa wajiandae tu kumtumia kufanya reformation TISS kwa uzoefu wake

Lord Denning, wewe ni kiona mbali- ubarikiwe kwa bandiko lako...
 
CCM kama walikosea au plan wamfukuze Membe ili wapinzani wamdake kama Lowasa hiyo imekula kwao.
Disadvantegies ni nyingi na iwe iwavyo, kama Membe akigombea kwa ticket ya ACT , thats ablessing in a disguise.
Thanks Lord!!
Tume na wakurugez wote wenye wajibu wa kutangaza matokeo ni wateule wa mh, je unadhan watakubali kumdisappoint mwajiri na kuhatarisha ugali wao?? Never
 
Back
Top Bottom