MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Swadakta Mkuu! Ni asilimia ndogo sana ya wabunge (magamba hamna hata mmoja) ambao wako bize kiasi cha kuharibikiwa na shughuli zao. Ingekuwa kweli tungeona maendeleo majimboni mwao. Nchi hii haishi viroja.Hoja yako haina mashiko aliyekuambia wabunge wa Tanganyika wako bize kiasi hicho ni nani!?