Tutajuaje kama umejipiga ban?hivi kuna mtu hakipendi ccm kama mimi?? yani wakishinda leo kwa njia yeyote ile najipiga ban kula siku tatu.
Wakubwa tazama channel ten wanarusha UPDATE LIVE safi sana
muda mfupi uliopita amemnaliza mratibu uchaguzi CCM
Na hivi sasa kamanda mbowe analonga
TAKUKURU nao wanailinda ccm..Mbowe,CHADEMA imeweza kudhibiti vitendo vya rushwa
wametoa taarifa TAKUKURU lakini hakuna kilichotokea
Naona CNN na BBC nao wameanza kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Igunga. Kumbe haka kauchaguzi kamegusa hisia za watu wengi eeh?
TAKUKURU nao wanailinda ccm..
Lakini ukishapiga si vibaya ukisema uliyempigia...huyo hajui nini maana ya kura. Kura ni siri.
napiga magoti hizi habari ziwe kweli!News just in:
CDM inaelekea kupanda ushindi mwembamba Igunga.
Hii ni kwa mujibu wa taarifa za ndani toka kwa mawakala katika baadhi ya vituo vya uchaguzi.
CDM imeonekana kufanya vizuri sana vituo vya mjini wakati kule vijijini ni pasu pasu almost.
CUF, kwa mujibu wa taarifa hizo haijaambulia kitu na inawezekana ikaishia kupata asilimia chini ya 2.
Will give u further update soon.
mwigulu anataka kuwahamisha watu wasijadili lile gari lenye million 20. vilevile kama wamekatwa hiyo ni polisi kesi anatuletea hapa ya nini?