Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,410
- 31,395
- Thread starter
- #221
Mag3 Hili limefanyika haraka ili kuzuia uharibifu zaidi kutoka kwa Sanders
In fact mkutano wake na Sanders leo aliyeuomba ni Sanders na nadhani ametumia fursa hiyo kumueleza ukweli wa 2008
Haieleweki kama atatangaza kuachia ngazi au ataendelea na kampeni kama alivyosema. Sanders amekuwa tatizo kubwa kwa Democrat
Hata hivyo, sasa ni Clinton Vs Trump
In fact mkutano wake na Sanders leo aliyeuomba ni Sanders na nadhani ametumia fursa hiyo kumueleza ukweli wa 2008
Haieleweki kama atatangaza kuachia ngazi au ataendelea na kampeni kama alivyosema. Sanders amekuwa tatizo kubwa kwa Democrat
Hata hivyo, sasa ni Clinton Vs Trump