Uchaguzi Kinondoni: Hisabati haidanganyi

Uchaguzi Kinondoni: Hisabati haidanganyi

Tuanza kwanza kwa idadi ya wanachama.
CHADEMA inawanachama chini ya 300
CUF inawanachama chini ya 20,000
CCM inawanachama zaidi ya 100,000

2015 wanaCCM wengi waliwapa support CUF kwa sababu wanampenda Mtulia.
Kwa hisabati zinaonesha bila shaka Mtulia atashinda.


upload_2018-1-28_20-20-12.png
 
Tuache matani. Vyama vingine ni wasindikizaji tu. Kinondoni inaenda CCM asubuhi

IMG_5591.jpg
IMG_5592.jpg
IMG_5631.jpg
IMG_5633.jpg
IMG_5634.jpg
 
Yaani hatakama CDM hamjui kusoma picha zenyewe hauoni?
Diwani wa kimara CDM kajiunga CCM
Hizo zote ni namna za kufanya watu waache kuwaamini
IMG_5661.jpg
IMG_5664.jpg
IMG_5675.jpg
IMG_5685.jpg
 
tatizo watanzania hawajuwi maana ya bunge kwa serikali
 
Ssm hawana mashiko kabisa kama kawaida yao tumeshudia wakisomba watu toka sehemu mbali mbali za mji wa Dar es Salaam hivyo basi wamebakiza kazi moja tu nayo nikununua viongozi waupinzani yani wanaharibu pesa za walipa kodi kwa kurudi uchaguzi na serikali isipokuwa makini awamu hii itakuwa niya chaguzi tu
 
CDM buana!yaani hata kajukwaa kamianzi kanawashindaga kujenga [emoji3]bahiri hashindi vita.
 
Halafu kudhihirisha hilo ati wapiga kura 90%wamevaa sare za chama chao...
Huu ni uchaguzi wa mbunge au wa mwenye kiti wa chama?? Yaani sijui kwanini Ccm hawana hata fikra za kuficha uongo wao jamani
Mbona hata mkutano wa chadema nao huoni hao wamevaa sare za chama?
 
Back
Top Bottom