Uchaguzi Kinondoni: Hisabati haidanganyi

Uchaguzi Kinondoni: Hisabati haidanganyi

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
4,582
Reaction score
2,783
Toa mawazo yako juu ya mwonekano wa uchaguzi Kinondoni:

DUjg8B_X4AA5a1N.jpg
DUju8W1WkAAxOpP.jpg
DUo_NDOWkAEhNwo.jpg
 
Mkuu hiyo ni kampeni na ndio mwanzo wake. Kampeni ni mpaka tarehe 16, kisha tarehe 17 ndio kura. Atangazwe tu mshindi halali.
 
Kweli Hisabati hazidanganyi,
naona Lema umemchukua Picha kutoka Pembeni wakati Mwigulu mpiga Picha alikua nyuma yake.
Siku ikitokea ukapiga picha zote mbili kutokea nyuma ni-tag please
 
Kweli nyie ccm hata aliyewaroga kafa, hivi usombe watu pembezoni mwa mwa mji kuja kujaza mkutano eneo ambalo siyo wapiga kura wake halafu ulinganishe na mtu aliyejaza mkutano wa wapiga kura wa eneo husika!

Jaribuni kutumia akili zenu vizuri kuchanganua mambo badala ya kushikiwa akili na mwenyekiti wenu wa ccm taifa mzee kipara.
 
Hahaha mkuu hapa si siasa sana. Inatakiwa ukweli wake tu
Halafu wanao lipwa sio wapiga kura. Ila Salim alikuwa anaongea na wapiga kura ambao hawaja pewa hata senti. Na nguo za chama walikuwa wana nunua kwa pesa zao...
 
Back
Top Bottom