Kesho wananchi wa Kenya wenye kukidhi vigezo vya kupiga kura watapiga kura kuchagua Rais na wabunge kutoka vyama mbali mbali.Mashirika mbali mbali yameshatoa tabiri ingawa yote yanaonyesha hakuta kuwa na mshindi katika round ya kwanza,Mshindi atatakiwa kushinda kwa zaidi ya 50%.Bwana Raila Odinga na Uhuru Kenyatta wanachua vikali uenda uchaguzi ukarejelewa kutafuta mshndi kati ya Raila na Uhuru.
Lolote laweza kutokea iwapo uchaguzi utarudiwa,Bwana Mudavadi akimuunga mkono mmoja wapo wa wagombea kati ya Uhuru na Raila aweza kuwa Rais wa Kenya.