JK hajawahi kuwa Dr na siamini kuwa anaweza kuwa. Inachukua miaka 2 kupata Masters, 5-6 kupata PhD. Hizi za mezani wenzake huwa wanakaa kimya..mfano ni Benjamini W. Mkapa. Hajawi kusema ni Dr pamoja na kwamba ana Masters na aliwahi kupewa PhD ya Sokoni aaa sorry ya mezani