kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Kama tujuavyo uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Kalenga ni Tarehe 16.03.2015 (Jumapili) na imebaki siku moja tu hadi sasa, cha kusikitisha nimesikia kupitia Taarifa ya habari ITV kuwa chama hiki cha CHAUSTA hakijazindua kampeni zake hadi sasa,
My Take
Ni vema sasa Msimamizi wa Vyama vya siasa ikaliangalia hili kwani inaonyesha wazi tunakuwa na vyama vingi vya siasa ambavyo vipo kinadharia tu na sio kivitendo na havionyeshi uhai na ni vema mchujo ukafanyika ili vibaki vile vyama ambavyo vipo hai sio hivi vinavyosubiri uchaguzi mkuu na kuanza kuhubiri kwa wafuasi wake waichague CCM.
My Take
Ni vema sasa Msimamizi wa Vyama vya siasa ikaliangalia hili kwani inaonyesha wazi tunakuwa na vyama vingi vya siasa ambavyo vipo kinadharia tu na sio kivitendo na havionyeshi uhai na ni vema mchujo ukafanyika ili vibaki vile vyama ambavyo vipo hai sio hivi vinavyosubiri uchaguzi mkuu na kuanza kuhubiri kwa wafuasi wake waichague CCM.