goodluck tesha
Member
- Mar 1, 2012
- 29
- 10
Watoto wa maskini hawana chao nani anakujua?Elimu ya mtoto wa maskini anaipatia kwenye shule za kata Saint Kayumba atazungumza Kingereza kipi wakati huko hakuna taaluma?Mgombea anapaswa awe na sifa kama Haiba,Mvuto,Bashasha,msomi,Anayejiamini,Social na pia awe na vijisent vya kutafuta uongozi na zaidi awe ni mtoto wa KIGOGO except wa Malecule,KURA zilitolewa kwa kujuana na kikanda badala ya uwezo .Pia ndoa ya CCM na CUF inaimarika .HONGERENI mlioshinda mtuwakilishe vema.Bunge pia badilisheni taratibu zenu za namna ya kupata wabunge wa jumuia hii ili kuondoa lawama.