Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Salamu kwa wote watanzania.
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi 10 mwaka 2020 kutakuwa na agenda kuu mbili tu.
Tanganyika ( Bara )
Hapa kutakuwa na agenda ya Ajira kwa vijana.
Zanzibar ( Visiwani )
Hapa kutakuwa na agenda ya Muungano wa jamuhuri.
Sasa hizi agenda zikichukuliwa poa mjiandae kulia na kusaga meno.
Karibu!
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi 10 mwaka 2020 kutakuwa na agenda kuu mbili tu.
Tanganyika ( Bara )
Hapa kutakuwa na agenda ya Ajira kwa vijana.
Zanzibar ( Visiwani )
Hapa kutakuwa na agenda ya Muungano wa jamuhuri.
Sasa hizi agenda zikichukuliwa poa mjiandae kulia na kusaga meno.
Karibu!