Habarini wanaJF
Nimepata mshtuko baada ya kukutana na watu wasiopungua watano ndani ya siku mbili wakisema uchaguzi wa mwaka huu hautakuwa salama hivyo hawataenda kupiga kura kwa kuogopa mabomu.
Tambua kuwa kupiga kura ni haki yako kama mwananchi wa Tanzania hivyo huna buni kwa hali yoyote kupiga kura ili kupata kiongozi bora ambaye unamtaka.
Cha ajabu ni kuwa wanosema hawapigi kura manung'uniko nimengi kuhusu viongozi ukiwambia wakapige kura hawataki sasa unashindwa kuelewa hawa ni waTanzania wa aina gani jamani??
Ndugu zangu nawaombeni pamoja na yote tunayoshabikia tusisahau KUPIGA KURA.
Namalizia kwa kusema; "KURA NI HAKI YAKO KAMA MTANZANIA"
Nimepata mshtuko baada ya kukutana na watu wasiopungua watano ndani ya siku mbili wakisema uchaguzi wa mwaka huu hautakuwa salama hivyo hawataenda kupiga kura kwa kuogopa mabomu.
Tambua kuwa kupiga kura ni haki yako kama mwananchi wa Tanzania hivyo huna buni kwa hali yoyote kupiga kura ili kupata kiongozi bora ambaye unamtaka.
Cha ajabu ni kuwa wanosema hawapigi kura manung'uniko nimengi kuhusu viongozi ukiwambia wakapige kura hawataki sasa unashindwa kuelewa hawa ni waTanzania wa aina gani jamani??
Ndugu zangu nawaombeni pamoja na yote tunayoshabikia tusisahau KUPIGA KURA.
Namalizia kwa kusema; "KURA NI HAKI YAKO KAMA MTANZANIA"