Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Mkuu habari za mwaka Jana?Kwani hiyo takwimu yako imehusisha na mikoa mingine?
Kama ni hapana, usiweke mjumuisho bila kubaini undani ukoje.
Mkuu habari za mwaka Jana?Kwani hiyo takwimu yako imehusisha na mikoa mingine?
Kama ni hapana, usiweke mjumuisho bila kubaini undani ukoje.
Anzisha thread mkuuhivi wachanga hawana zile tabia za Wakinga?!
Ni nzuri sana madam, heri ya mwaka mpya!Mkuu habari za mwaka Jana?
Mkuu sijatanguliza chuki,nilichokuwa napinga kwa wale wanatoa hoja kwamba wachaga wanatabia ya kuzika kwao ndio misiba inaonekana.kwa wingi..So ni endanger tribe?
Mimi naona ishu si wanakufa sana, muhimu ni wanazaliwa wangapi na wanakufa wangapi.. (ratio).
Usambazaji wa taarifa za kifo, upokeaji wa taarifa, na asili(utamaduni) wa ushiriki.
Utapakaaji wao nchi nzima na Dunia kwa ujumla huku direction ya makaburi ni perpendicular to (Kilimanjaro)..... ndiyo unaona hicho unachoona kuwa wanakufa sana.
.... Usitanguliwe na chuki. Maana as long as hawakubughuzi, na hawavunji sheria za nchi, basi waache waishi au kuendeleza utamaduni wao..... nakuhakikishia ukifanya hivyo hutasononeka.
[HASHTAG]#TheyAreThereBecauseTheyMindTheirOwnBusiness[/HASHTAG]
Kwani uongo sasa?kusafirisha mtu mfu kutoka dar au mwanza au mbeya nk hadi moshi unafikiri ni shilingi mbili?hayo ni maendeleo mbona nyinyi mnashindwa kusafirisha mnazika hapa mjini au mnatelrkeza maiti hadi inazikwa na manispaa?maendeleo hayo! wachagga kwao kila kitu ni maendeleo, wasije kukwambia unawaonea wivu wanavyofanya "Balance Of Nature"
anhaa kuumbeee!! basi hongereni kwa kufa!Kwani uongo sasa?kusafirisha mtu mfu kutoka dar au mwanza au mbeya nk hadi moshi unafikiri ni shilingi mbili?hayo ni maendeleo mbona nyinyi mnashindwa kusafirisha mnazika hapa mjini au mnatelrkeza maiti hadi inazikwa na manispaa?
Hili ndio jibu sahihi.wachaga wengi wanapenda kuzika kwao, hao ambao huwaoni wakenda kwao ni kwamba wanazikana mjini.
hili ndiyo jibu pekee.
Asante wewe utakaeishi mileleanhaa kuumbeee!! basi hongereni kwa kufa!
wachaga wengi wanapenda kuzika kwao, hao ambao huwaoni wakenda kwao ni kwamba wanazikana mjini.
hili ndiyo jibu pekee.