Uchafu kutoka ndani ya uume

Mtoto wa Golden Paste

Senior Member
Jul 7, 2020
166
120
Habari wakuu,

Tangu jana asubuhi nilipodamka nikajaribu kunyima kichwa cha uume kidogo nikaona uchafu mweupe mithili ya maziwa unatoka,pia nikienda kukojoa mwishoni nahisi maumivu makali sana. Na muda mwingine nikikaa nahisi kama nachomwa na kitu ndani ya uume, sijajua tatizo ni nini haswa mpaka sasa.

Msaada tafadhali itakuwa ni dalil ya nini hii?
 
Dalili za gono izo mkuu nenda duka la madawa lilipo karibu nawe nunua doxycycline, nunua pia ceptrine na flagyl za kusafisha utaona matokeo.

Au kama tatizo ni kubwa na ni la muda kachome sindano za ceftriaxone I/v kila siku kwa siku tano uchukue na flagyl za kusafisha
 
Cha kukushauri ni kwamba, kitaalamu haturuhusu mtu kuanza kutumia dawa kabla ya kujua aina ya ugonjwa ulionao, cha kufanya nenda hospital then ufanye vipimo though kwa hali ya kawaida hizo ni dalili za Gonorrhea au Syphilis (Kaswende).

Hivyo nenda ucheki afya ukiwa pamoja na mwenzi wako then muanze tiba mara moja
 
Cha kukushauri ni kwamba, kitaalamu haturuhusu mtu kuanza kutumia dawa kabla ya kujua aina ya ugonjwa ulionao, cha kufanya nenda hospital then ufanye vipimo though kwa hali ya kawaida hizo ni dalili za Gonorrhea au Syphilis (Kaswende). Hivyo nenda ucheki afya ukiwa pamoja na mwenzi wako then muanze tiba mara moja
Hawa wanaona aibu kwenda hospital. Wanaelekezana dawa za kunywa.

Baadae zikibuma, tayari gonjwa limeshasonga na pengine limesharibu sehem zingine.

Tulipoteza jamaa yetu kwa staili hizi.

Halaf saivi unafanyaje kavukavu jaman?
 
Hawa wanaona aibu kwenda hospital. Wanaelekezana dawa za kunywa.

Baadae zikibuma, tayari gonjwa limeshasonga na pengine limesharibu sehem zingine.

Tulipoteza jamaa yetu kwa staili hizi.

Halaf saivi unafanyaje kavukavu jaman?

Yaaah ni kweli mkuu
 
Nililala na demu usiku mzima show ilikuwa kali sana, kesho yake nikaanza kuona matatizo kama hayo aisee ukitaka kwenda kukoja unaukuta ute mweupe umejitokeza ndo mkojo unakuja. Nilichanganyikiwa

Nikaenda kwa docta wangu akanipima akanipatia dawa inaitwa Azuma nakumbuka zilikuwa kama aina mbili za Dawa. Nikameza na kunywa maji mengi.

Baada siku tano nikapona.
 
Cha kukushauri ni kwamba, kitaalamu haturuhusu mtu kuanza kutumia dawa kabla ya kujua aina ya ugonjwa ulionao, cha kufanya nenda hospital then ufanye vipimo though kwa hali ya kawaida hizo ni dalili za Gonorrhea au Syphilis (Kaswende). Hivyo nenda ucheki afya ukiwa pamoja na mwenzi wako then muanze tiba mara moja
Asante kwa ushauri mkuu
 
nenda hospital ila pia unaweza usiende na ukajitibu na dose ya combination ya ceftriaxone injection na azuma

au cephalex tablets na azuma

acha ngono hadi umalize dose na hakikisha mwenzi wako pia anatumia hyo dose laa sivyo utakuwa unafanya kazi bure

kwa hizo dalili zote hapo unasumbuliwa na gonnorrhea usiilee pata tiba upesi

combination dose -ceftriaxone injection NA azithromycin (Azuma)

au

combination dose -Cephalexin tablets NA Azithromycin (Azuma)
 
Back
Top Bottom