Mtoto wa Golden Paste
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 166
- 120
Habari wakuu,
Tangu jana asubuhi nilipodamka nikajaribu kunyima kichwa cha uume kidogo nikaona uchafu mweupe mithili ya maziwa unatoka,pia nikienda kukojoa mwishoni nahisi maumivu makali sana. Na muda mwingine nikikaa nahisi kama nachomwa na kitu ndani ya uume, sijajua tatizo ni nini haswa mpaka sasa.
Msaada tafadhali itakuwa ni dalil ya nini hii?
Tangu jana asubuhi nilipodamka nikajaribu kunyima kichwa cha uume kidogo nikaona uchafu mweupe mithili ya maziwa unatoka,pia nikienda kukojoa mwishoni nahisi maumivu makali sana. Na muda mwingine nikikaa nahisi kama nachomwa na kitu ndani ya uume, sijajua tatizo ni nini haswa mpaka sasa.
Msaada tafadhali itakuwa ni dalil ya nini hii?