Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Sijui inaweza kuwa ni setting au ndivyo ilivyo yaani unapo click kufungua post inafungukia katika post ya chini kama ukurusa ulikuwa na post 10 basi inaanza kuonekana ile post ya 10 na ili uende sambamba na topic inanibidi nianze kupanda juu mpaka post ya kwanza ndo nishuke nayo mpaka post ya mwisho,sasa kimbembe ukutane na post ambazo zimeandikwa kipimo cha kujaza ukurasa wa gazeti la mzalendo hapo ndiyo utapanda weeeee! Tena ukute member wame reply kwa ku quote yaani unaweza kuishia njiani.natambua hapa mpo watemi wa hizi ishu nipeni ma ujanja ili nifaidi