Ubunifu wa kipumbavu sekondari ya sangu.

Ubunifu wa kipumbavu sekondari ya sangu.

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Sekondary ya sangu ipo mbeya mjini, nje kidogo ya mji, wanafunzi wa kike wanavaa brauzi kwa chini ina malinda na suruali, ukiwaona watoto hawa hata asiye na shepu anavutia kwa sababu ya mavazi, kila mtoto wa kike anaonekana kuwa na mkia, kajazia neema za alah! Mavazi haya hayafai kwa wanafunzi na nayalaani hadharani, mwanafunzi wa kike avae sketi kama mfuko wa mashine ili asiingie kwenye mtego wa kuleta matamanio kwa wanaume walafi na mbweha kwa wanawake.
 
Sekondary ya sangu ipo mbeya mjini, nje kidogo ya mji, wanafunzi wa kike wanavaa brauzi kwa chini ina malinda na suruali, ukiwaona watoto hawa hata asiye na shepu anavutia kwa sababu ya mavazi, kila mtoto wa kike anaonekana kuwa na mkia , kajazia neema za alah! Mavazi haya hayafai kwa wanafunzi na nayalaani hadharani, mwanafunzi wa kike avae sketi kama mfuko wa mashine ili asiingie kwenye mtego wa kuleta matamanio kwa wanaume walafi na mbweha kwa wanawake.
Kwenye uzi wako umesema kuna wanafunzi wenye MKIA. Ni wa kizazi kipi jamani? Nafikiri hao wanaweza kifiti kwenye makumbusho. Kingine usiwe unatumia dushe... kufikiri kwa sababu hiyo itaamsha tamaa za mwili. TUMIA KICHWA CHAKO VIZURI ACHANA NA HAYO MAMBO MENGINE NI YA KUPITA 2.
 
Sekondary ya sangu ipo mbeya mjini, nje kidogo ya mji, wanafunzi wa kike wanavaa brauzi kwa chini ina malinda na suruali, ukiwaona watoto hawa hata asiye na shepu anavutia kwa sababu ya mavazi, kila mtoto wa kike anaonekana kuwa na mkia, kajazia neema za alah! Mavazi haya hayafai kwa wanafunzi na nayalaani hadharani, mwanafunzi wa kike avae sketi kama mfuko wa mashine ili asiingie kwenye mtego wa kuleta matamanio kwa wanaume walafi na mbweha kwa wanawake.

Ungeweka picha sasa!!!..
 
mkuu umekurupuka sio siri, hayo mavazi yanawasitiri vizur kabisa kuliko hata wanaovaa min skirts, kama ulioona wachache wanaobana suluali hzo bas jua ni ukiukwaji tu ila kihalali wanatakiwa kuvaa suluali kubwa isiyobana
 
Shule za mchangani hizii hazina maana
we jamaa punguza kula viporo. kwa mbeya sangu, meta, ivumwe, ni baadhi ya shule zenye heshima na hadhi na zinaaminiwa sana na wazazi wengi. hivyo kuziita za mchangani ni kuzishushia hadhi na kujidhihishia we mwenyewe ni jinsi gani ulivoadhiriwa na viporo.
 
we jamaa punguza kula viporo. kwa mbeya sangu, meta, ivumwe, ni baadhi ya shule zenye heshima na hadhi na zinaaminiwa sana na wazazi wengi. hivyo kuziita za mchangani ni kuzishushia hadhi na kujidhihishia we mwenyewe ni jinsi gani ulivoadhiriwa na viporo.

bora ndugu umemwambia live huyo mshindia vipolo hajui asemalo mpaka nw angalijua yupo wrong asingeongea utumbo huo !!!!!
 
Ninachukizwa sana navibrauzi vya watoto wa Sangu secondary. Vinamarinda yasiyo na hesabu na kuelea kiunoni kwa mtoto wa kike kama mcheza ngoma za asili.ama mchekeshaji

Nimejiuliza kwa mda mrefu endapo bodi ya shule ilihusika nakufanya maamuzi juu ya sare hiyo au la....

Naungana na mleta hoja kwamba ni vazi la kipumbavu na halina hiyo sifa ya weledi wala maadili, nikituko kwa kweli
 
mkuu umekurupuka sio siri, hayo mavazi yanawasitiri vizur kabisa kuliko hata wanaovaa min skirts, kama ulioona wachache wanaobana suluali hzo bas jua ni ukiukwaji tu ila kihalali wanatakiwa kuvaa suluali kubwa isiyobana

Nimavazi yakipumbavu, hapa kinachojadiliwa ni hilo vazi la marinda lukuki na kuelea kiunoni mwa msichana kama mcheza shoo wa ngoma za asili za kagera au wale wa Saida Karoli.

Vazi linawafanya watoto waonekane kama waigizaji wa vichekesho.
 
we jamaa punguza kula viporo. kwa mbeya sangu, meta, ivumwe, ni baadhi ya shule zenye heshima na hadhi na zinaaminiwa sana na wazazi wengi. hivyo kuziita za mchangani ni kuzishushia hadhi na kujidhihishia we mwenyewe ni jinsi gani ulivoadhiriwa na viporo.

Je kuhusu hilo vazi nini mtazamo wako?
 
... JEKI naomba kufahamu wewe ni profesa nani ati ...?
 
Last edited by a moderator:
Endelea kukumbatia hizo spesho skuli zako, huku mtaani hatuzitambui izo...
Watu tumepita manyokozi sec lakini tunapeta tuuu...

Hebu tujadili hoja yenyewe kuhusu hilo vazi linaubora nahadhi kwa watoto?
 
Sekondary ya sangu ipo mbeya mjini, nje kidogo ya mji, wanafunzi wa kike wanavaa brauzi kwa chini ina malinda na suruali, ukiwaona watoto hawa hata asiye na shepu anavutia kwa sababu ya mavazi, kila mtoto wa kike anaonekana kuwa na mkia, kajazia neema za alah! Mavazi haya hayafai kwa wanafunzi na nayalaani hadharani, mwanafunzi wa kike avae sketi kama mfuko wa mashine ili asiingie kwenye mtego wa kuleta matamanio kwa wanaume walafi na mbweha kwa wanawake.
Mh! Haya bana. Lakini, hivi sangu iko nje kidogo ya mji wa Mbeya?
 
Sijaona tatizo hapo, unless ukware ndo umekuzidi

Hujaona tatizo? Kunatofauti yoyote kati ya vazi hilo na wacheza ngoma wa saida karoli?

Kunamantiki yoyote kuwavalisha watoto mavazi ya uigizaji na vichekesho kama commedy?
 
Mh! Haya bana. Lakini, hivi sangu iko nje kidogo ya mji wa Mbeya?

Huyu jamaa sidhani kama anaifaham mbeya vema. Sangu ipo katikati ya mji wa mbeya, lakini hoja yake inamashiko na imenifanya nichangie maana kile kivazi nichakipumbavu kwakweli, hilo naliafiki.
 
Back
Top Bottom