Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,429
nadhani sasa umeamini kwamba KYELA inapata mbunge mpya aitwaye Mh Mwanyamaki , nilitoa angalizo mapema ili msije mkapata visukari vya ghafla .
mkuu hyo haiwezi kutokea. Mwakyembe hana mpinzan pale.
Nillikwambia endapo mwakyembe atashindwa mm ntatembea uchi kutoka dsm mpaka matema