Hapa binti anateleza kwenye mlenda au amepaka sabuni kwenye tiles kisha yeye anapita speed.
Kaanda module nzima alikuwa busy na mabuzi, club, fb siku ya mwisho mambo magumu.
Huu ni ujinga,Watanzania kwa kuendekeza hili,ndo maana atuwezi ushindani ata hapa east Africa,ndo maana kazi zote nzuri zita endelea chukuliwa na wageni.
Shule niliyosoma mimi kutazamia test tu ilikuwa ni kosa ambalo adhabu yake ni kufukuzwa shule.I'm proud for this kwani my brain was not corrupted kama vijana wengi wa Kitanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.