chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,999
- 20,647
Ni wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.