Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
Hakuna kitu kinachoitwa uelewa, Nec ipo chini ya magu na itafanya kile nachokitaka Magu. Hukusiki Mbeya mkuu wa mkoa sijui wilaya aliomba kwa Rais kisa wlimtangaza mpinzani? Wqkati wao sio tumeUzuri K’Njaro watu wana uelewa na wanaweza kubadili chama chochote wako kama watu wa Uingereza au Marekani ndio maana wapo mstari wa mbele kwenye siasa za upinzani wakati watanzania wengine bado wanafikiri ccm ni jina jingine la Tanzania.