Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Mtoto wa Mfanyabiashara Maarufu Jijini Arusha, hayati Melleo Mrema, Michelle Mrema amejitokeza kuchukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kupitia nafasi ya UVCCM Mkoa wa Arusha na kunogesha idadi ya wagombea wanaowania nafasi hiyo kufikia 29.
Michelle amekuwa mtoto pekee aliyefuata nyayo za marehemu baba yake ambaye alifariki dunia akiwa kada mwaminifu wa chama cha mapinduzi
Michelle amesema kuwa amedhamilia kuwa mbunge wa vijana Mkoa wa Arusha na iwapo chama chake kitampitisha ataweza kuwatumikia vijana vizuri kwa kuwa anaimani na Tanzania Mpya chini ya Rais John Magufuli
Michelle amekuwa mtoto pekee aliyefuata nyayo za marehemu baba yake ambaye alifariki dunia akiwa kada mwaminifu wa chama cha mapinduzi
Michelle amesema kuwa amedhamilia kuwa mbunge wa vijana Mkoa wa Arusha na iwapo chama chake kitampitisha ataweza kuwatumikia vijana vizuri kwa kuwa anaimani na Tanzania Mpya chini ya Rais John Magufuli