Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,676
- 272,519
Maandiko matakatifu yameeleza kwamba Laana ya usaliti ni kubwa mno , na kwamba inaweza kutafuna hadi kizazi cha 4 cha mhusika , hii maana yake ni kwamba Laana aliyoitenda Babu mnyororo wake unavikumba hadi vitukuu .
Hii ndio hali iliyomkumba Mbunge wa Simanjiro James Millya .
Ameandaliwa raia anayeitwa Peter Ole Toima kugombea ubunge huo kwa mwaka 2020 , raia huyo anaandaliwa hadi mikutano ya hadhara vijijini .Taarifa zinaonyesha kwamba Peter Toima aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro .
Sisi yetu ni macho na masikio