Jamani mbunge sugu anapendwa sana mbeya na mimi pia nampenda sana ingawa si mkazi wa jimbo hilo ila kuna wasiwasi kwenye mchakato wa 2015 watu wachache wakashindwa kumpa kura yeye na wakampa mtu mwingine ndani ya cdm,wote tunaelewa jimbo la mby mjini ni la chd hata kama watasimamisha kisiki kipambane na ccm basi ccm itashindwa,kwa hiyo sugu kwa muda uliobaki ajitazame kwani watu wanampenda na pia manunguniko yao anayajua so anaweza kujisafisha vizuri.
Hiyo ni hali halisi ya jimboni kwa mr two proud,anapendwa sana sana
Hiyo ni hali halisi ya jimboni kwa mr two proud,anapendwa sana sana