Ubunge Mbeya mjini 2015

Ubunge Mbeya mjini 2015

vinega bwana mkishavuta madude yenu huwa mnaona Sugu ndio rais...we udhani watu wa Mbeya wanampenda basi,si wanamuonea huruma tu ataishije bila ubunge..
 
kanunuliwa foili za pale nebana pub basi anajiachia tu kuropoka vitu najisi.... haya bwana sisi yetu macho na masikio!
 
Hata sijaelewa una maanisha nini.​

Hata mimi mara ya kwanza kusoma post yake,kwa kwli sikumuelewa.Lakini nikaamua kusoma kuanzia chini/bottom page kuelekea juu/top.Nawe kama ukifanya kama mimi naamini utamuelewa vizuri sana.
 
Kwa ukweli mbeya barabara ni mbovu. Kwa upande wa afya sio mbaya sana ila malalamiko mwengi ni barabara.
 
Ushauri murua nilidhani kuna songombingo!!
Sugu aufanyie kazi mara moja
 
vinega bwana mkishavuta madude yenu huwa mnaona Sugu ndio rais...we udhani watu wa Mbeya wanampenda basi,si wanamuonea huruma tu ataishije bila ubunge..

Usiwe **** wewe,kwani alikuwa anaishi vipi kabla ya ubunge?aliweza ku hustle na kuishi better life tena katika nchi tofauti kuliko hata ukoo wako unavyoishi sasa!aonewe huruma we unafikiri cdm wana akili za ki lumpen kama c.c.m
 
Kuna malalamiko ya hapa na pale ambayo anaweza kuyarekebisha ,kwamba ofisi anafunga muda mrefu na kubandika karatasi nje eti yuko nje kikazi,mtu wa kumsaidia mbunge ni msanii mwenziwe na muda mwingi ofisi inafungwa,na bungeni eti anaongea usaniii tuu hatetei watu wa mbeya ,halafu la yeye kuachia chama mkoa kukijenga yeye akiwa nje zaidi ya mkoa, akitafuta credit za kisiasa kwa viongozi, nadhani akitulia haya mambo yanaweza kunyooshwa tu na yeye mwenyewe bado upepo upo kwake lakini japo manung'uniko yanakwenda kwa kasi ya moto wa upepo
Sugu ana cheo gani kwenye chama cha Chadema? na je Chadema haina uongozi Mbeya wa kufanya harakati za kisiasa? haya mnayoandika hapa huwa mnafikiri kabla ya kuandika au mnaandika ndio halafu mnafikiri?

Kwahiyo hapa unatuaminisha kwamba Chadema Taifa walipotangaza kwamba Wabunge wake wote watashiriki kampeni za Arumeru wewe ulitaka Sugu akatae kushiriki?

Ni nini kazi ya madiwani na mameya wa manispaa kama unataka Mbunge awepo ofisini full time utadhani ni counter ya Police office!!
 
Mbeya hakuna mbunge; ndio matatizo ya kuchagua kishabiki au wakati una hasira..

Wananchi wa mbeya ni kama Arusha wanafanya uchaguzi kishabiki au wakati wamepandisha morali..

busara zero; sugu siyo status ya mbeya kabisaaaaa!
 
Back
Top Bottom