KISANTILITEDI
Member
- Dec 31, 2009
- 96
- 27
watanzania viva! hakuna kulala mpaka kieleweke!
mabadiliko ya kweliuhuru wa kweli!
chadema viva
mbowe viva
silaa viva
ndesa pesa viva
maendele ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi yale yale eti kwa ari mpya na nguvu mpya na kasi mpya
KIla mtanzania mwenye akili huu ni wakati wa kujiuliza ajira million moja kila mwaka ziko wapi? maisha bora yako wapi? kasi imefikia wapi? au ni kasi ya kwenda kutanua ughaibuni? au ni kasi ya kimbita kwenda kuuliza mtutu wa kuulia nyani? au ni kasi ya richmond? au ni kasi ya kupeleka mafisadi uchwara mahakamani na kuacha mapapa yakitamba? vp deep green na mereremeta?
kuna sababu ya kumwachia mwewe chakula cha mtoto?
wabunge tunaongeza na rais mwaka huu ni mali ya chadema
freeman hana haja ya kushindana na na fuya au mushi kwani hayo ni magerersha. ndesa pesa usijali Mengi akitoa lazima atoke ITV kwani kuna mtu amfahamu.
sijui Mengi unijipendekeza nini huko CCm wakati ukweli ni kwamba hawakupendi. sophia si alishakueleza ukweli. rostam umemsahau. je masha. je umesahau ndesa ilimbidi ajiuzulu kamati ya nidhamu kwa ajili ya hao ccm kuhongwa umeshau zengwe lako na malima?
mwaka huu kila mtanzania tunasababu ya kuondoa kila uchafu ulioko ccm.
na anayetaka kutest kiberiti atest.
awenia mushi ni mtu mdogo sana kwenye siasa
hata ukiwa na akili kama za prof sarungi ukiwa ccm wewe ni bure kabisa
ccm ya kina nyerere , sokoine ,eliufoo, nsilo swai sio ccm ya kikwete,mengi ,vicky nsilo swai, fuya ukweli ni kwamba hii ya sasa wamechoka kimawazo,sio kwamba nawachukia ukweli ni hamna kitu kichwani
watu hamuoni ambulence lakini mahindra za kampeni, na sasa ni cruiser hardtop zinaonekana ili watu waweze kubakiza ulaji wao lakini mkifa kwa kukosa afya aaa hiyo haina noma. hivi kuna nini hadi mtumie billon 50. kweli ningekuwa na roho mbaya ningekuwa ccm ili nizile. ila nimezisusia sitakia hata senti
nataka haki yangu
pesa haiwezi kunifanya mtu .mimi ni mimi nikiwa maskini ni mimi nikiwa tajiri ni mimi. haki yangu utu wa wangu
mabadiliko ya kweliuhuru wa kweli!
chadema viva
mbowe viva
silaa viva
ndesa pesa viva
maendele ya kweli hayawezi kuletwa na mafisadi yale yale eti kwa ari mpya na nguvu mpya na kasi mpya
KIla mtanzania mwenye akili huu ni wakati wa kujiuliza ajira million moja kila mwaka ziko wapi? maisha bora yako wapi? kasi imefikia wapi? au ni kasi ya kwenda kutanua ughaibuni? au ni kasi ya kimbita kwenda kuuliza mtutu wa kuulia nyani? au ni kasi ya richmond? au ni kasi ya kupeleka mafisadi uchwara mahakamani na kuacha mapapa yakitamba? vp deep green na mereremeta?
kuna sababu ya kumwachia mwewe chakula cha mtoto?
wabunge tunaongeza na rais mwaka huu ni mali ya chadema
freeman hana haja ya kushindana na na fuya au mushi kwani hayo ni magerersha. ndesa pesa usijali Mengi akitoa lazima atoke ITV kwani kuna mtu amfahamu.
sijui Mengi unijipendekeza nini huko CCm wakati ukweli ni kwamba hawakupendi. sophia si alishakueleza ukweli. rostam umemsahau. je masha. je umesahau ndesa ilimbidi ajiuzulu kamati ya nidhamu kwa ajili ya hao ccm kuhongwa umeshau zengwe lako na malima?
mwaka huu kila mtanzania tunasababu ya kuondoa kila uchafu ulioko ccm.
na anayetaka kutest kiberiti atest.
awenia mushi ni mtu mdogo sana kwenye siasa
hata ukiwa na akili kama za prof sarungi ukiwa ccm wewe ni bure kabisa
ccm ya kina nyerere , sokoine ,eliufoo, nsilo swai sio ccm ya kikwete,mengi ,vicky nsilo swai, fuya ukweli ni kwamba hii ya sasa wamechoka kimawazo,sio kwamba nawachukia ukweli ni hamna kitu kichwani
watu hamuoni ambulence lakini mahindra za kampeni, na sasa ni cruiser hardtop zinaonekana ili watu waweze kubakiza ulaji wao lakini mkifa kwa kukosa afya aaa hiyo haina noma. hivi kuna nini hadi mtumie billon 50. kweli ningekuwa na roho mbaya ningekuwa ccm ili nizile. ila nimezisusia sitakia hata senti
nataka haki yangu
pesa haiwezi kunifanya mtu .mimi ni mimi nikiwa maskini ni mimi nikiwa tajiri ni mimi. haki yangu utu wa wangu