Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,812
- 11,501
If he has qualified...who are you to stop it?Unawezaje kumpa/kumtunuku PhD individual kama "yule" na bado ujiite bora???
Kiswahili chenyewe majanga.siku hizi wanajitetea kwa kusema anatangaza kiswahili
Hii inaonyesha ni tabia ya watu wa kile chuo, ukiangalia vizuri hata maguu hapendi kukosolewa.Mtanganyika wa kweli uandishi ni kipimo cha IQ yako. Nadhani kwa humu JF ni forum mbili tu (I stand to be corrected) ndizo unaweza kutumia aina hiyo ya uwasilishaji uliyoitumia hapa. Tujenge utamaduni wa kukubali kukosolewa na kujua tulipokosea.
How can he/she?????Can u express this" povu " in the queen's tongue....! Kama huwez na ww ni walewale....!
Anasema ni aina ya uandishi sasa nikamuuliza huko chuoni walifundishwa huo uandishi? Akabaki anatua matusi, hii imenifanya nianze kuamini alichoandika mleta mada maana matusi ni lugha ya mpumbavu na sio msomi!Safi sana Upendo wa Pesa. Sijui nisemaje juu watu hawa. Wanaharibu Kiswahili? Wanaharibu kanuni za uandishi? Wamesoma wapi hawa? Shuleni walikwenda kweli hawa? Rai yangu kwao: Badilikeni.
If he has qualified.......then something is WRONG. Ndio maana nimesema UDSM wajitathmini.If he has qualified...who are you to stop it?
Kwanini tunapenda kudharau kazi za watu?If he has qualified.......then something is WRONG. Ndio maana nimesema UDSM wajitathmini.
The standard of qualification is what raises questions...!If he has qualified...who are you to stop it?
Wewe mwenyewe jitathmini kwanza kama ni bora.. maana hata ueleweki... Kwanza ni tukio gani hilo unalolizungumzia inabidi uligusie.. Je ubora wa chuo unaangaliwa kwa zao moja tu? Hujui kuna individual differences hata mkiwa subjected kwenye the same learning environment....Wakuu,
Ifike kipindi chuo kikuu cha Dar es salaam kikae chini, kijitathmini kuhusu ubora wake.
Kuna mambo/matukio mengine yanaweza kukipaisha chuo au kukishusha kwa kasi ya kimbunga. Tukio kama la Jana ni tukio lililokuwa likitazamwa na dunia nzima. Inawezekana dunia ilitaka kujua pia ubora wa UDSM kwa kuangalia na kuisikiliza "product" yake.
Liliulizwa swali jepesi mno, lakini lilijibiwa kwa kuzungukazunguka na pia kwa lugha mbovu kabisa.
Kwa kweli sio jambo jema kwa mtu mwenye PhD kuwa katika kiwango kile kilichoonyeshwa...UDSM kuna sehemu mmekosea/mnakosea.
The standards are the same everywhere. Unless you talk about something else. There is a way that Phd are being offered worldwide.The standard of qualification is what raises questions...!
exactlyThe standard of qualification is what raises questions...!
Same standards worldwide but different products ..? I think there's a problem....!The standards are the same everywhere. Unless you talk about something else. There is a way that Phd are being offered worldwide.
Mnaumiza kichwa kama vile hamjui ....wabongo bwana= Nani
= Kakwambia
= Sijui
Hii aina ya uandishi ndio mnafundishwa kwenye chuo chenu?
Je mpaka hapo mimi na wewe ni nani mpumbavu?
Kwahiyo tatizo sio chuo...ni individual. Kitu ambacho chuo hakihusiki. Kama amesema na kuweza kupata chochote, si kazi yao kutoa hukumu inakuwaje huyo jamaa analewa toka asubuhi au analala toka asubuhiSame standards worldwide but different products ..? I think there's a problem....!
Nani anaumiza kichwa? nini hatujui?Mnaumiza kichwa kama vile hamjui ....wabongo bwana
Endelea kujidanganya tuSahv mm graduate wa udsm nikienda nae interview kazi lazima iwe yangu hawez nizid