sijakusoma nia yako una tatizo upande gani,ila in short huwezi kulinganisha samsung na huawei hata siku1.labda huawei na matakataka ya tecno
Kuna tofauti kubwa katika bei. Samsung zinaeeza kuwa reliable kidogo kuliko huawei ila p7 nayo ni nzuri sana, nimeona kioo chake na camera yake haviwezi kukuangusha. Perfomance ya cortex a9 inaweza isiwe kama ya snapdragon ya samsung ila kwa mtumiaji wa kawaida huwezi gundua.
P7 ina shape nzuri pia na materia yaliyotumika ni glass siyo maplastick ya samsung. Unapenda sana samsung? Kuna simu nzuri nyingine kama xperia na lg.
Nadhani watu wengi wanafikiria huawei p6 na p7 ni kama wanazozijua wao za bei rahisi kama y200 na 300, ambazo zina mbadala wake kwa upande wa samsung. Hizi p6, p7 ziko level tofauti.
Hizi wala sio level za tecno kama mdau mmoja alivyosema, labda kama hazijui. Kama unapenda simu kubwa kama note kuna huawei ascend mate 7. Kwa kifupi p6, p7, mate 7 ni simu za ukweli hasa design na material na cheaper, labda haziongozi lakini haziwezi kukuangusha. Achana na waliokariri majina.
Cheki video kama hii hapa kwenye link itakusaidia kuhusu p7 na s5.
[video]http://m.youtube.com/watch?v=wRcnFOvyLwQ[/video]
<b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=29415" target="_blank">mi_mdau</a></b> umeonesha udhaifu mkubwa sana..
Umeonesha wewe n adui sana wa samsung nila sababu..
Umeulizwa ipi bora generaly,ungejib tu ipi n bora na sio kuitukana samsung.
Hivi ukitumia plastic ya samsung ina madhara yoyote..
Ushauri wangu ni huu,usinunue simu iliyotengenezwa kwa housing ya kioo ni hatar,m nnatumia sony xperia z hapa,ilikua inapata moto then badae kioo kikawa kinaachia,coz hv vioo havfungw kwa nuts kama maplastic ya samsung ila vnaunganishwa kwa gundi..so n bora maplatic ya samsung
Na wewe ni mnazi wa samsung bila shaka kwa sababu nilitegemea ungeona huyo nilimjibu aliyesema kufananisha huawei na samsung ni kama kifananisha beetle na benz. Kila kitu kina pros na cons ila niliona kila mtu ameona kama samsung haiwezi kushindanishwa. Plastic isnt premium for sure na sony wameendele kustick na material ya glass, sidhani kama ni mbaya labda matumizi yako. Kuna video za youtube na thread hapa jf kuhusu kupinda kwa iphone 5 plus. Video za kuonyesha udhaifu wa design hiyo zipo ila si lazima cases ziwe kwa watu wengi. We ni mmoja wa asilimia chache wanaoponda glass material. Ila ukweli ni kwamba samsung wanatumia cheap materials
Na wewe ni mnazi wa samsung bila shaka kwa sababu nilitegemea ungeona huyo nilimjibu aliyesema kufananisha huawei na samsung ni kama kifananisha beetle na benz. Kila kitu kina pros na cons ila niliona kila mtu ameona kama samsung haiwezi kushindanishwa. Plastic isnt premium for sure na sony wameendele kustick na material ya glass, sidhani kama ni mbaya labda matumizi yako. Kuna video za youtube na thread hapa jf kuhusu kupinda kwa iphone 5 plus. Video za kuonyesha udhaifu wa design hiyo zipo ila si lazima cases ziwe kwa watu wengi. We ni mmoja wa asilimia chache wanaoponda glass material. Ila ukweli ni kwamba samsung wanatumia cheap materials
Inaelekea wewe glass material unaisikia tu ila hujaitumia ndo maana unabisha usichokijua..
Mimi sio mnaz wa samsung,na niliwah kutumia s3 baada ya hapo sitaki na sitakaa nitumie tena samsung,ila huawei p6 na p7 hazipand kwa s4 na note series hata kwa dawa..
Alafu inaelekea upo sayari ya Mars maana hapa earth hatuna iphone 5 plus..
Polycarbornate bado ni plastic ila nakubaliana na wewe ni plastic bora kabisa ya kutengenezea simu.upo sahihi kuhusu simu za samsung kuwa NA muonekano cheap ila usisahau ile ni polycarbonate best material ya kutengenezea smartphone,
Polycarbornate bado ni plastic ila nakubaliana na wewe ni plastic bora kabisa ya kutengenezea simu.
HTC one bado ni nzuri kuliko samsung yote in terms of material na design. Aina ya alluminium waliyotumia siijui ila bado najua ni bora kuliko plastic ya aina yoyote. Kumbuka samsung wanatumia mkanda wa aluminium pia si ajabu siku moja wakaitumia kwa sehemu kubwa zaidihuwez pata material mengine kama polycarbonate, even alluminium wanayotumia ni alloy tena grade ya chini ndio maana scandle za bendgate zinatokea, unless mtu atumie stainless steel ambayo sidhani kama simu zake zitanunulika
HTC one bado ni nzuri kuliko samsung yote in terms of material na design. Aina ya alluminium waliyotumia siijui ila bado najua ni bora kuliko plastic ya aina yoyote. Kumbuka samsung wanatumia mkanda wa aluminium pia si ajabu siku moja wakaitumia kwa sehemu kubwa zaidi