- Thread starter
- #121
Mzumbe Ni Kwi-kwi aseeYupo Profesa mmoja (alikuwa Boss pale) na mkewe akachomekwa kwa sasa nae ni Profesa (huenda nae alikuwa anavizia U-Vice Chancellor lakini kwa awamu hii wakalambishwa mchanga na sasa kaletwa Profesa toka Nelson Mandela Institute of Science & Technology, Arushaaaaaaaaaaa.