kaka_mkubwa
Member
- Apr 6, 2012
- 36
- 58
Habari waungwana
Naomba msaada kwa mtu aliyewahi kutumia Prado yenye engine 5VZ na 3RZ kwa safari za mbali kama Dar kwenda Mwanza/Kyela/Mpanda
Ipi ni nzuri na kwa nini?
Asante
Naomba msaada kwa mtu aliyewahi kutumia Prado yenye engine 5VZ na 3RZ kwa safari za mbali kama Dar kwenda Mwanza/Kyela/Mpanda
Ipi ni nzuri na kwa nini?
Asante