CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Kwanza kabisa natanguliza samahani kwa kuandika kichwa cha habari tofauti na "mantiki" yenyewe.
Nia yangu ni kutaka kuwavuta wasomaji wafungue thread hii ili katka hao wengi watakaofungua wapo wachache watakaokuwa na majibu ya ombi langu.
Naomba mtu yeyote anipatie namba ya simu ya mfanyakazi yeyote wa PPF (PPF HOUSE - Dar). Anipatie ili niwasiliane naye anisaidie kitu fulani. Lkn kabla ya kunipatia namba hiyo naomba amwombe kwanza ruhusa mwenye namba hiyo ili isije ikawa kesi!
Niko Tanganyika ambapo ofisi hiyo haipo.
Natanguliza shukrani.
Nia yangu ni kutaka kuwavuta wasomaji wafungue thread hii ili katka hao wengi watakaofungua wapo wachache watakaokuwa na majibu ya ombi langu.
Naomba mtu yeyote anipatie namba ya simu ya mfanyakazi yeyote wa PPF (PPF HOUSE - Dar). Anipatie ili niwasiliane naye anisaidie kitu fulani. Lkn kabla ya kunipatia namba hiyo naomba amwombe kwanza ruhusa mwenye namba hiyo ili isije ikawa kesi!
Niko Tanganyika ambapo ofisi hiyo haipo.
Natanguliza shukrani.