Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,892
- 8,972
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.
Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
