Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

Maji ya Dawasco yamejaa kwenye mabomba yenu mnashindwa kuchemsha mnywe mnaanza kutupigia kelele.


Wanaume wa Dar mkoje?
muda sasa foleni asubuhi masaa 3 mpaka kazini na kurudi hivyo hivyo sasa huo muda utatoka wapi!
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Maji ya Kilimanjaro ni mazito hayana ladha kama maji ya vijijin kwetu Yan hayana asil ya utam wa maji yapo kama maji ya Bahar yalio chujwa
 
muda sasa foleni asubuhi masaa 3 mpaka kazini na kurudi hivyo hivyo sasa huo muda utatoka wapi!
Kunyweni hata yasiyochemsha mbona watu tunayagonga na tuko fresh tu. Kuna vitu watu wanajipa stress za Bure.

Mtu ulie luku, KING'AMUZI, vocha, kwanini maji usinywe ya bomba kupunguza gharama.
 
Aiseeni kweli mi nikasema labda mdomo wangu tu
 
Haya maji yashaakua ya hovyo na yanakwenda anguka soko lake, kuna mtu anaitwa Sequa ana maji mazuri sana na ndio yatamuangusha huyo Kilm
 
KIKEMIA;

Ukiona sehemu ya maelezo ya vilivyomo kwenye chupa(contents) ukaona wameandika pH 7.0 (ambayo ndio pH ya maji ya kilimanjaro) halafu ukanywa ukahisi Uchachu ujue ni FAKE!

pH 7.0 maana yake hayana ladha, wakati pH kuanzia 7.1 na kuendelea kama maji ya DASANI ndio kuna uchachu(basic)
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
KIKEMIA;

Ukiona sehemu ya maelezo ya vilivyomo kwenye chupa(contents) ukaona wameandika pH 7.0 (ambayo ndio pH ya maji ya kilimanjaro) halafu ukanywa ukahisi Uchachu ujue ni FAKE!

pH 7.0 maana yake hayana ladha, wakati pH kuanzia 7.1 na kuendelea kama maji ya DASANI ndio kuna uchachu(basic)
 
Kilimanjaromaji yake Bei kubwa sana!! Chupa ya lita 1.5 ni Buku moja wakati Uhai 1.6 Litre ni 500.

Yale ya Litre 12 ya kilimanjaro ni Buku 6 wakati Uhai na Afya ni 3,500/=

Kwangu Hill ndio namba moja kwanza!! Naona Albany Marcosy kaja na maji yake ya JIBU.
 
KIKEMIA;

Ukiona sehemu ya maelezo ya vilivyomo kwenye chupa(contents) ukaona wameandika pH 7.0 (ambayo ndio pH ya maji ya kilimanjaro) halafu ukanywa ukahisi Uchachu ujue ni FAKE!

pH 7.0 maana yake hayana ladha, wakati pH kuanzia 7.1 na kuendelea kama maji ya DASANI ndio kuna uchachu(basic)
Hivi Maji ya DASANI yapo?
 
Kunyweni hata yasiyochemsha mbona watu tunayagonga na tuko fresh tu. Kuna vitu watu wanajipa stress za Bure.

Mtu ulie luku, KING'AMUZI, vocha, kwanini maji usinywe ya bomba kupunguza gharama.
Humo yanamopita ndugu acha mabomba yalivyo pasuka pasuka hatari , sasa usipojipenda mwenyewe nani akupende?
 
Ni kweli kabisa haya maji siku hizi hayana ladha ile iliyozoeleka. Labda kuna uchakachuaji umefanyika.
 
Back
Top Bottom